Hata kama ni confession si kila kitu ni cha kuongea hadharani... Akumbuke kuna keshoKabla ya kupata mtoto wa kike linah afunguka kuwa ashawahi kuchoropoa mimba mbili. Na hayo ndo yalikuwa majibu yake alipokuwa akiulizwa na Mtangazaji Soudy Brown >>>“Yah nisiwe muongo nilishawahi kutoa mimba kipindi cha nyuma, nilikuwa naogopa kwasababu Baba yangu alikataa mtu kubeba mimba nje ya ndoa” “Mimba nimezitoa, siyo mara nyingi ila naweza kusema kama mara mbilii”:-Linah
View attachment 561702
Linah akiwa na binti yake
Hata kama ni confession si kila ni cha kuongea hadharani... Akumbuke kuna kesho
Sent using Jamii Forums mobile app