Msanii Linah afunguka ashawahi kutoa mimba mara mbili

Msanii Linah afunguka ashawahi kutoa mimba mara mbili

Nawashangaa wengi mnachoponda ni yeye kuweka hadharani mabaya aliyokwishapita kuyafanya, hoja kuu iwe kutoa mimba na si kukiri kutoa mimba, kama mabaya hayatakiwi kuwekwa hadharani au kufahamika pasipo na shaka ni tembeo la unafiki huku ukijivika utakatifu na kuwa wa kwanza kunyoosha kidole kwa waliokosea kwa kujihami na usiri wa machafu yako.
 
Sheria za nchi zinasemaje kwa watu wenye kutenda makosa kama haya?
 
Kuna siku alipost video akiwa anaenda kujifungua kutokana na hoja yangu kuna mdau akaniquote akasema mbona hata sisi tunafanya dhambi, sikumpinga, ila hoja ni kua wenzake hua hatutambi wala kuonyesha kua tunaenjoy kuzifanya dhambi.

Natamani auone huu uzi pia.
 
Haya LHRC na wanaharakati wengine kuna mtu anatamba kua amekatisha uhai wa mwenzake, kazi ni kwenu.
Utetezi wa kesi hizi hua ni "Nilifanya kwa ajili ya kujiongezea umaarufu, hakuna kingine"
 
!
!
Kama Mara Mbili......Alikuwa anamaanisha kashatoa mara kadhaa ila kwa hakika ni zaidi ya mara mbili. Ila hakumbuki idadi
 
Baba alikua hataki kuzaa nje ya ndoa, huyu mtoto sasa ni wa ndani ya ndoa ipi?! Hawa wasanii huwa wanajitoa ufahamu hata kama hawajaanza kula unga, wakila unga unakuwa unamalizia tu uchizi wao.
 
nyie wabongo ndio mnaofanyaga watu wawe wasiri yaani bora afe kuliko kufichua uovu wake maana anajua ni jinsi gani mtavyomshambulia kwa maneno ya kashfa kifupi hpo ni kukiri tosha alifanya uovu na ndo maana amesema wazi alitoa mimba ...nyie mngemshauri tu atubu kwa Muumba wake kwa kitendo cha kuua viumbe
 
wazazi wa sasa mhuuuu, unaweza bembenda kichanga hivi hivi
 
Back
Top Bottom