bs group
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 816
- 523
vyomba vya usalama viko wap.akamatwe ashitakiwa kwa kosa la mauwaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa mmoja hivi, ana roho ngumu eeh?Hv nani alimtia mimba huyo
KaungameKabla ya kupata mtoto wa kike linah afunguka kuwa ashawahi kuchoropoa mimba mbili. Na hayo ndo yalikuwa majibu yake alipokuwa akiulizwa na Mtangazaji Soudy Brown >>>
“Yah nisiwe muongo nilishawahi kutoa mimba kipindi cha nyuma, nilikuwa naogopa kwasababu Baba yangu alikataa mtu kubeba mimba nje ya ndoa” “Mimba nimezitoa, siyo mara nyingi ila naweza kusema kama mara mbilii”:-Linah
View attachment 561702
Linah akiwa na binti yake
Kwa sasa amezaa ndani ya NDOAKabla ya kupata mtoto wa kike linah afunguka kuwa ashawahi kuchoropoa mimba mbili. Na hayo ndo yalikuwa majibu yake alipokuwa akiulizwa na Mtangazaji Soudy Brown >>>
“Yah nisiwe muongo nilishawahi kutoa mimba kipindi cha nyuma, nilikuwa naogopa kwasababu Baba yangu alikataa mtu kubeba mimba nje ya ndoa” “Mimba nimezitoa, siyo mara nyingi ila naweza kusema kama mara mbilii”:-Linah
View attachment 561702
Linah akiwa na binti yake
Na maneno yako binafsi yanaweza kuja kuwa silaha ya kukuangamizaAnadhani sifa akifunguka hivi,kuonyesha kwamba pamoja na kutoa mimba mbili bado kaweza kupata mtoto
Na zaidi, mmoja ndio huyo kakikwepa KifoKwahiyo huyo ni mtoto wa tatu?
mmmh huwa sielewi mtu unazaa unabaki na kitambi, nu uoga wa kufunga tumbo au? Mastar wetu hawaangalii cha kujibu, kwani lazima ukiri ushatoa looh
Huwa najiuliza sana...hivi ina maana hawana ata "common sense" !?? Yani huwa wanakurupuka na vitu vya ajabu public utasema wanaishi ndani ya chupa!!Hata kama ni confession si kila kitu ni cha kuongea hadharani... Akumbuke kuna kesho
Sent using Jamii Forums mobile app