Thread Starter
JF-Expert Member
- Mar 16, 2017
- 1,378
- 1,045
ukijibiwa unifahamishe na mmDuh!!!ana roho ya kishetani,hivi kasha olewa?
-Ndumilakuwili-
NI kweli ila hutakiwi kutangazaKuna watu kwenye huu uzi washatoa/wameshahusika katika kutoa kama 3+ lakini watakuja hapa kuponda na kujidai ni dada/kaka wa malaika.
Upeo wako wa kufikiri ni mdogo sanaKabla ya kupata mtoto wa kike linah afunguka kuwa ashawahi kuchoropoa mimba mbili. Na hayo ndo yalikuwa majibu yake alipokuwa akiulizwa na Mtangazaji Soudy Brown >>>“Yah nisiwe muongo nilishawahi kutoa mimba kipindi cha nyuma, nilikuwa naogopa kwasababu Baba yangu alikataa mtu kubeba mimba nje ya ndoa” “Mimba nimezitoa, siyo mara nyingi ila naweza kusema kama mara mbilii”:-Linah
View attachment 561702
Linah akiwa na binti yake
nina maana ya huyo dada sio wewe. sorry dearKwanini?
Hawa wameshajikatia tama mkuu,umejaribu kumfuatilia hata mavazi yake kabla ya hata kushika ujauzito ,ni kama alikuwa anatamani avue nguo atembee uchi.Hata kama ni confession si kila ni cha kuongea hadharani... Akumbuke kuna kesho
Sent using Jamii Forums mobile app