Msanii Linah afunguka ashawahi kutoa mimba mara mbili

Kaungame

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khalafu bado anavuta pumzi ya kitaa! huyu alitakiwa awe ndani haraka sana kichanga angekuwa anapelekewa kukinyonyesha huko.
 
Kwa sasa amezaa ndani ya NDOA

May Allah bless Me and You
 
Na huyu akikua atayasikia tu.
Mama umeuwa ndugu zangu
Duu
 
mmmh huwa sielewi mtu unazaa unabaki na kitambi, nu uoga wa kufunga tumbo au? Mastar wetu hawaangalii cha kujibu, kwani lazima ukiri ushatoa looh

Huwezi juwa labda kajifungua kwa operesheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…