Msanii Linah amwanika Mwanaume Wake

Msanii Linah amwanika Mwanaume Wake

Ila pamoja na ushabikii yaan mwanaume mwenzio unamkimbiliaa aisee ningekua mimi angekua kaniabisha sanaa maana ningeona kaka ni wa mana kuliko yeyee tenaa

una akili sana...sifa ya mwanaume ni kuvimba!si kuleta shobo tena kwa mwanaume mwenzako
 
bora mana kule alikua anachezea kichapo jaman wanaume hawa
 
Na yule aliompiga Mheshimiwa Mwinyi kibao angekuwa Sharobaro sasa hivi angekuwa na totoz kali za bongo movies au bongo fleva kwa bahati nzuri yule ni swala 5 hawezi kufanya hivi

dogo hamkai Lina kwasababu ya umaarufu wa kuingia uwanjani.....haka katoto kabishi flani wayback!ni katoto ka kinondoni manyanya kinadeal na nyeupe tangu kipo darasa la 5 na base yake ipo south africa ndo alipojuana na huyu Lina alipoenda dizonga na masogange kwani malaya wote wanaopeleka mzigo dizonga huyu dogo na wanawe ndo wanawapokea magetoni kwao!hata washkaji wengi wa bongo wanaoenda dizonga mara nyingi dogo ndo mwenyeji wao!.....
 
dogo hamkai Lina kwasababu ya umaarufu wa kuingia uwanjani.....haka katoto kabishi flani wayback!ni katoto ka kinondoni manyanya kinadeal na nyeupe tangu kipo darasa la 5 na base yake ipo south africa ndo alipojuana na huyu Lina alipoenda dizonga na masogange kwani malaya wote wanaopeleka mzigo dizonga huyu dogo na wanawe ndo wanawapokea magetoni kwao!hata washkaji wengi wa bongo wanaoenda dizonga mara nyingi dogo ndo mwenyeji wao!.....

Kweli mkuu unamjua vilivyo, upo sahihi kabisa.
 
uyo aliingiaga uwanjani ghafla kwenye mechi ya Tanzania na Brazil ili kumkumbatia Kaka na alikula kipigo kizito,wabongo naona wanamuita mtu maarufu mweee!! ngoja nitupitie mapicha yake zaidi ufaidi

binafsi najua aliingia uwanjani ila kuhusu kipigo sijaskia wala sikuona
 
una akili sana...sifa ya mwanaume ni kuvimba!si kuleta shobo tena kwa mwanaume mwenzako

Mi sipendi bana napenda nione mwanaume wangu yupo juu tu asimshobokee mtu maarufu afadhali hata ashobokee kwa mwanamke sasa mwanaume mwenzioo lol! !
 
Back
Top Bottom