Msanii Linah amwanika Mwanaume Wake

Msanii Linah amwanika Mwanaume Wake

Jamaa anaitwa ibrahim said, hana msimamo mkali sana ila anaijua dini kwa kiasi chake. Hakuwa na matatizo ya akili kama watu na vyombo vya habari vilivyoaminisha watu, ana akili zake timamu na za wastani.

Kuprove hilo, those days wakati wa shule yake. Alipata kusoma kati ya best schools kwa tanzania enzi hizo (early 2000's). Nazungumzia Ilboru na Tabora boys. So huwezi niambia alikuwa hana akili timamu, na wakati tukio lile linatokea, jamaa ndio alikuwa kamaliza form six,

Ile issue ilimlostisha kwa kiasi fulani jamaa.

Mkuu Ulisoma UMOJA P. SCHOOL nn??waliomaliza 2000
 

Stori: Paparazi Wetu
BAADA ya minong’ono ya muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ ameweka wazi kuwa anatoka kimapenzi na Nagari Kombo.

Akiteta na kona hii, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Linah alisema: “Ni kweli kwa sasa natoka na Kombo, ndiye mwanaume wangu, sina haja ya kuficha. Mimi na Amini imebaki stori tu, hata yeye ana mtu wake.”

Kombo alijipatia umaarufu siku za nyuma baada ya kuingia uwanjani na kumkumbatia mchezaji Ricardo Kaka wa Timu ya Taifa ya Brazil iliyokuwa ikichuana na Taifa Stars katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
GPL

Mbona mwaka jana alikanusha?

http://lukemusicfactory.blogspot.com/2013/02/nakanusha-habari-za-uongo.html?m=1
 
Back
Top Bottom