Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,119
- 4,779
Money Stunna nimecheka sana hizo picha za uwanjani hasa pale nsajigwa anapomshangaa.
Yaani wenzake wapo katikati ya mechi ye anaenda mkumbatia kaka uwanjani???
Huwezi kuficha hisia, kama ni mpenzi wa soka kuna mchezaji unayemuadmire kutokana na vitu vyake uwanjani. Na kwa jamaa inaonekana anamuadmire Ricardo izecson dos santos Leite a.k.a Kaka'. So ni kutofautiana ujasiri tuu.
Wengine huonesha admiration kwa kuvaa jezi ya mchezaji husika, wengine hununua picha ya mchezaji husika, wengine hutafuta video clips za mchezaji husika ila kwa Jamaa ujasiri wake ulipitiliza mpaka kuamua kujitosa uwanjani.
Last edited by a moderator: