we noma kidogo tu unakimbilia kuoga, utaweza kweli kuwa mwanachama wa kudumu wa infidelity?
All in all huyu mtoto inabidi achukuliwe hatua kali zinazolingana na umri wake na si matendo yake, hili iwe fundisho kwa watoto wengine, na kwa jamii husika, inasikitisha kwakweli.
mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio!ohh YES BADO MDOGO SAANA TENA
Home of great thinker nilitegemea mgegundua kuwa hapo walikuwa wanaanda mojawapo ya scene za michezo yao ya kuigiza.
Dont take it serious.
Msidanganyike kirahisi hivyo.
Home of great thinker nilitegemea mgegundua kuwa hapo walikuwa wanaanda mojawapo ya scene za michezo yao ya kuigiza.
Dont take it serious.
Msidanganyike kirahisi hivyo.
i am still not liking that bloated tummy look.
Bloated tummies should be punishable by law for any female of less than 35 years ( Age limit of 40 will be too much to ask for).
Pia kuna picha za uchi nimeziona sehemu watu wanasema ni huyu mtoto(Teamo) anaweza kutuelezea zaidi kuhusu hizo picha za uchi.sio scene,na hata ingekuwa ni scene bado nisingefurahishwa na mtoto wa mwanamke mwenzangu kujianika uchi ktk umri mdogo kiasi hicho:mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
Wewe hebu rudi hapa unaenda kuoga umecahfuka nini? Sema watu wasikie..... maumivu ya kichwa uanza pooolee pooolee ila dawa unayo mwenye mzeee! Haaaaaahahaaa.........😛ound::dance:Dah! ngoja nikaoge
LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??
Pia kuna picha za uchi nimeziona sehemu watu wanasema ni huyu mtoto(Teamo) anaweza kutuelezea zaidi kuhusu hizo picha za uchi.
hizi picha zenu mnazowakamua na kuwapiga uchi autaki hata kidogoakuna klabu utakayoruhusiwa nafikiri muulize ajute kufanya mapenzi ovyo na mafirauni na kuwaacha watuliivu kama ......(Waoawaji)