Wewe unasubiri nini? Dunia nzima sasa hivi wanaiona Nuru ya UislamHaya yote ni baada ya kufurahishwa na Koran Sura ya Majini na mashetani aya za Shetain.. Hongera zake kuchagua hell...
Ndugu yangu kuwa muislam ni kujsalimisha kwa Muumba wako.Kwani huyo Mercy ndio ameshaiona pepo kwa kusilimu kwake?!
Msanii maarufu ambae ameshinda tuzo tofauti kwa uigizji, amesilimu.
Ni mwigizaji wa Nigeria, mtengenezaji wa filamu na mfanyabiashara, Mercy Aigbe ambaye hivi karibuni amesilimu. Kusaidia Hadithi za Uongofu wa Kiislamu.
Mercy ambae amechaguwa kw sasa aitwe Hajiya Meena amesilimu mwezi wa Ramadhan iliyopita baada ya kujifikiria kwa muda mrefdu. Mwaka huu pia amekwenda Makkah Kuhiji.
Allahu Akbar.
Hakuna Mungu gaidiNdugu yangu kuwa muislam ni kujsalimisha kwa Muumba wako.
Uislam ni mfumo wa maisha yako kamili hapa duniani. Kutenda, kuamrisha mema na kukataa na kukataza maovu.
Lazima binaadam ujielewe upo hapa duniani kwa ajili ya nini?
Hii thd naona imekua mwiba kwako,pole sana,Haya yote ni baada ya kufurahishwa na Koran Sura ya Majini na mashetani aya za Shetain.. Hongera zake kuchagua hell...
Hngera yakeMsanii maarufu ambae ameshinda tuzo tofauti kwa uigizji, amesilimu.
Ni mwigizaji wa Nigeria, mtengenezaji wa filamu na mfanyabiashara, Mercy Aigbe ambaye hivi karibuni amesilimu. Kusaidia Hadithi za Uongofu wa Kiislamu.
Mercy ambae amechaguwa kw sasa aitwe Hajiya Meena amesilimu mwezi wa Ramadhan iliyopita baada ya kujifikiria kwa muda mrefdu. Mwaka huu pia amekwenda Makkah Kuhiji.
Allahu Akbar.
AlhamduliLlah, mie toka juzi nna migeni ya Kiarabu kibao hapa kwangu Mkuranga, jana wameona raha kile kimvua kidogo na greenery ya hapa, kula kondoo kwa kwenda mbele. Wakmekataa hata kurudi mjini kwenye mahoteli yao, wamesema kambi hapa hapa. Hivi wako huko wanawinda kanga kwa manati.Na mwarabu hapa anataka kukuoa ajuza wewe wa yupo DP world
Hivi,kuwa muislam ni big issue?Mmefikia wangapi duniani hadi leo?Msanii maarufu ambae ameshinda tuzo tofauti kwa uigizji, amesilimu.
Ni mwigizaji wa Nigeria, mtengenezaji wa filamu na mfanyabiashara, Mercy Aigbe ambaye hivi karibuni amesilimu. Kusaidia Hadithi za Uongofu wa Kiislamu.
Mercy ambae amechaguwa kw sasa aitwe Hajiya Meena amesilimu mwezi wa Ramadhan iliyopita baada ya kujifikiria kwa muda mrefdu. Mwaka huu pia amekwenda Makkah Kuhiji.
Allahu Akbar.
AlhamduliLlah, mie toka juzi nna migeni ya Kiarabu kibao hapa kwangu Mkuranga, jana wameona raha kile kimvua kidogo na greenery ya hapa, kula kondoo kwa kwenda mbele. Wakmekataa hata kurudi mjini kwenye mahoteli yao, wamesema kambi hapa hapa. Hivi wako huko wanawinda kanga kwa manati.
Wewe kama unaona sio big issue basi waache wanao ona ni big issue,simple tu.Hivi,kuwamuislam ni big issue?Mmefikia wangapi duniani hadi leo?
Kwa hiyo ndiyo tushindane kwa idadi?Bahati njema ukoo wangu una watu wa dini zote.Huwa nashangaa haya majidai mnatoa wapi?Wewe kama unaona sio big issue basi waache wanao ona ni big issue,simple tu.
Nani amekwambia kua kuna mashindano ya idadi? hakuna mtu anayetaka kujua habari za ukoo wako hapa,yako wapi hayo majidai kwenye hii thd? unataka kuhukumu watu kwa tafsiri zako binafsi?Kwa hiyo ndiyo tushindane kwa idadi?Bahati njema ukoo wangu una watu wa dini zote.Huwa nashangaa haya majidai mnatoa wapi?