Msanii Maarufu wa Nigeria Mercy Aigbe Asilimu

Msanii Maarufu wa Nigeria Mercy Aigbe Asilimu

Haya yote ni baada ya kufurahishwa na Koran Sura ya Majini na mashetani aya za Shetain.. Hongera zake kuchagua hell...
Kuna sra kwenye Qur'an inaitwa surat Jinn, ni nzuri sana, isome tafsiri yake kidogo:

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU


Qur'an 72:
1.
Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu! 1
2. Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi. 2
3. Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu Mlezi umetukuka kabisa; hana mke wala mwana. 3
4. Na kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi Mungu. 4
5. Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu. 5
6. Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi. 6
7. Na kwa hakika wao walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi, ya kuwa Mwenyezi Mungu hatamleta Mtume. 7
8. Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo. 8
9. Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia! 9
10. Nasi hatujui kama wanatakiwa shari wale wanao kaa kwenye ardhi au Mola wao Mlezi anawatakia uwongofu. 10

Soma zaidi: Al jinn
 
Nani amekwambia kua kuna mashindano ya idadi? hakuna mtu anayetaka kujua habari za ukoo wako hapa,yako wapi hayo majidai kwenye hii thd? unataka kuhukumu watu kwa tafsiri zako binafsi?
Kutoa habari kwamba fulani kasilimu ni majidai,kushangaa na kutokujiamini.Kuisoma avatar yangu tu ni kuujua ukoo wangu.
 
Kwa hiyo ndiyo tushindane kwa idadi?Bahati njema ukoo wangu una watu wa dini zote.Huwa nashangaa haya majidai mnatoa wapi?
Uislam ni mwema sana nakushauri Usome kidogo kidogo kutoka kwa Waislam wenyewe. Utaiona raha yake, usidanganyike.

Uislam siyo dini ya matambiko (rituals), Uislam ni dini ya rohoni (spiritual).
 
Madam Samahani, Kwenye simu sikupati, PM umefunga.

Mi nishafika chimbo, hamna wa kukuona, Jamaa anauliza leo akutengenezee Kavu au rosti?
Anauliza akuchanganyie na Mafuta au unataka pua tuu kama unavyopendaga?

Ukija zunguka uwani kule store Muddy yeye tayari ameenda kujifungia kule store anakula.

Usisikilize wanafiki humu, tupo Pamoja.
 
Madam Samahani, Kwenye simu sikupati, PM umefunga.

Mi nishafika chimbo, hamna wa kukuona, Jamaa anauliza leo akutengenezee Kavu au rosti?
Anauliza akuchanganyie na Mafuta au unataka pua tuu kama unavyopendaga?

Ukija zunguka uwani kule store Muddy yeye tayari ameenda kujifungia kule store anakula.

Usisikilize wanafiki humu, tupo Pamoja.
Huu sasa ni uchokozi.😂😂😂😂😂
 
Amepata tajiri wa kiislamu akiachwa anarudi kwenye dini ya kweli ya wapenda amani haha
Hakuna dini nyingine duniani zaidi ya Uislam.

Wewe kitabu kipi ulifunsdishwa hiyo unayoifata kuwa ni dini?

Yesu mwenyewe akija leo ukimwambia "Mimi Mkristo" atakushangaa, haujuwi ukristo wala hajawahi kuusikia.
 
Msanii maarufu ambae ameshinda tuzo tofauti kwa uigizji, amesilimu.

Ni mwigizaji wa Nigeria, mtengenezaji wa filamu na mfanyabiashara, Mercy Aigbe ambaye hivi karibuni amesilimu. Kusaidia Hadithi za Uongofu wa Kiislamu.

Mercy ambae amechaguwa kw sasa aitwe Hajiya Meena amesilimu mwezi wa Ramadhan iliyopita baada ya kujifikiria kwa muda mrefdu. Mwaka huu pia amekwenda Makkah Kuhiji.

Allahu Akbar.


Mbona Waislam wakibadili kuwa Wakristo huwa linaonekana jambo la kawaida lakini mkristo kuwa muislam inakuwa habari ya mjini ? Hebu Waislam acheni kujiona watu inferior
 
Hakuna dini nyingine duniani zaidi ya Uislam.

Wewe kitabu kipi ulifunsdishwa hiyo unayoifata kuwa ni dini?

Yesu mwenyewe akija leo ukimwambia "Mimi Mkristo" atakushangaa, haujuwi ukristo wala hajawahi kuusikia.
Yesu atakuwaje na dini jamani khaaaa sisi wafuasi wake ndio wakristo amethfundisha upendo,kusamehe na tunakemea mapepo Kwa jina lake na yanatii haha Jesus is Soo sweet
 
Madam Samahani, Kwenye simu sikupati, PM umefunga.

Mi nishafika chimbo, hamna wa kukuona, Jamaa anauliza leo akutengenezee Kavu au rosti?
Anauliza akuchanganyie na Mafuta au unataka pua tuu kama unavyopendaga?

Ukija zunguka uwani kule store Muddy yeye tayari ameenda kujifungia kule store anakula.

Usisikilize wanafiki humu, tupo Pamoja.
Tena pua kama ni moja tu umekosea, nataka ziwe kumi nna wageni wwengi wa DP EWorld hapa, ila usisahau huu mstari wa biblia:

8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
 
Mbona Waislam wakibadili kuwa Wakristo huwa linaonekana jambo la kawaida lakini mkristo kuwa muislam inakuwa habari ya mjini ? Hebu Waislam acheni kujiona watu inferior
Sasa wewe utaachaje kumuona wa kawaida na wote mpo kizani?

Ma shaa Allah ukitoka kizani kuingia kwenye Nuru lazima uwe siyo wa kawaida.

Uislam ni mwema, usisikie.
 
Sasa wewe utaachaje kumuona wa kawaida na wote mpo kizani?

Ma shaa Allah ukitoka kizni kuingia kwenye Nuru lazima uwe siyo wa kawaida.

Uislam ni mwema, usisikie.
Baki na ujinga wako
 
Yesu atakuwaje na dini jamani khaaaa sisi wafuasi wake ndio wakristo amethfundisha upendo,kusamehe na tunakemea mapepo Kwa jina lake na yanatii haha Jesus is Soo sweet
Wapi amekufunsiha uwe Mkristo?

Fikiri, usijibu kishabiki tu.

"Wakristo" kwa mara ya kwanza waliitwa na Waarabu huko Syria tena waliitwa "nasrani" yaani wa Nazareti, sasa sifahamu huyo aliyewapachika "Ukristo" uwa ni dini ni nani?

Nyie aliyewaita kondoo hajakosea. Yaani mnanisikitisha sana, binaadam unaitwa "Kondoo" na wewe unafurahi na kushekelea tu?

Hebu jifikirie kiukwli kabisa, bila ushabiki.
 
Yesu atakuwaje na dini jamani khaaaa sisi wafuasi wake ndio wakristo amethfundisha upendo,kusamehe na tunakemea mapepo Kwa jina lake na yanatii haha Jesus is Soo sweet
Niliwauliza wakristo walinieleza vyema hilo.

Kristo(Yesu) hakua mkristo kwasababu yeye ndio Kristo.
Wafuasi wa Kristo ndio wanaitwa Wakristo na mfumo wao wa uhusiano na Mungu wanaoufuata ndio ukristo.

Sasa Yesu hawezi kuwa mfuasi wa Yesu(Kristo) yeye ndio Yesu(Kristo) Mwenyewe anaefuatwa na wanaomwamini.
 
Back
Top Bottom