Msanii Maarufu wa Nigeria Mercy Aigbe Asilimu

Msanii Maarufu wa Nigeria Mercy Aigbe Asilimu

Mimi huwa najiuliza,kwanini mtu maarufu kuingia uislam huwa inakuwa habari kubwa sana?wakati dini ni kama nyumba ya kupanga mtu ukiingia nyumba hii huielewi unaingia nyumba nyengine.

Jana nimeona kuna masawe nae alikuwa ananadiwa humu,kuna nini cha ziada kinapatikana baada ya haya?
 
Baki na ujinga wako
Hebu fikiri japo kidogo. Uislam unanifundisha kuwa kila muumini ni mchungaji wa kuamrisha mema na kukataza maovu.

Wewe waliokuletea "ukristo", wzungu hao, wamekuita kondoo, na wewe unafurahia kuitwa kondoo na unacheklea na kuniona mimi Muislam mjinga?


Hivi kondoo na mchungaji ni nani mjinga zaidi hapo?
 
Niliwauliza wakristo walinieleza vyema hilo.

Kristo(Yesu) hakua mkristo kwasababu yeye ndio Kristo.
Wafuasi wa Kristo ndio wanaitwa Wakristo na mfumo wao wa uhusiano na Mungu wanaoufuata ndio ukristo.

Sasa Yesu hawezi kuwa mfuasi wa Yesu(Kristo) yeye ndio Yesu(Kristo) Mwenyewe anaefuatwa na wanaomwamini.
Kijana unafahamu maana ya "kristo"? Kama hufahamu sema nikufahamishe.


Jiulize wewe ni nani aliyekuita Mkristo?

Halafu jiulize yesu alikuwa ni diini gani?


Mimi nakwambia, yule yule aliyekuita wewe kondoo na wewe unakubaki na kuchekelea tu, ndiye aliyekuita mkristo. Ukristo siyo dini. Ni jina tu mmepachikwa hata aliyewapachika hamumjuwi. Kuna mtu aliitwa Mkristo mbele ya Yesu?

Fikiri kabla hujajibu.
 
Wapi amekufunsiha uwe Mkristo?

Fikiri, usijibu kishabiki tu.

"Wakristo" kwa mara ya kwanza waliitwa na Waarabu huko Syria tena waliitwa "nasrani" yaani wa Nazareti, sasa sifahamu huyo aliyewapachika "Ukristo" uwa ni dini ni nani?

Nyie aliyewaita kondoo hajakosea. Yaani mnanisikitisha sana, binaadam unaitwa "Kondoo" na wewe unafurahi na kushekelea tu?

Hebu jifikirie kiukwli kabisa, bila ushabiki.
Yani wewe huna hata hoja Mungu akusaidie sana.
Sijafundishwa kuwa mkristo nimefundishwa upendo,kusamehe n.k mkristo ni mtu anayemuamini yesu kristo so Hilo jina la "mkristo" is not a big deal hata likibadilishwa au lisiwepo kabisa, what matters ni TUNAMUAMINI YESU KRISTO AMBAYE NI VERY POWERFUL,MERCYFUL, MARVELOUS N.K AAAAAAH sifa zake ni nyingi mnoo
 
Nilijiondosha huko siku nyingi.Siwezi kuwa na dini yenye chuki chungu tele.Pomoni!Tooop!
Si kweli. Hakuna dini yenye amani na isiyo na chuki na yeyote zaidi ya Uislam. Tusidanganyane tafadhali.

Uisla m ungekuwa na chuki unafikiri leo hii ungeuona Ukristo ardhi hii? Fikiri kabla hujajibu kishabiki.
 
Yani wewe huna hata hoja Mungu akusaidie sana.
Sijafundishwa kuwa mkristo nimefundishwa upendo,kusamehe n.k mkristo ni mtu anayemuamini yesu kristo so Hilo jina la "mkristo" is not a big deal hata likibadilishwa au lisiwepo kabisa, what matters ni TUNAMUAMINI YESU KRISTO AMBAYE NI VERY POWERFUL,MERCYFUL, MARVELOUS N.K AAAAAAH sifa zake ni nyingi mnoo
Dah, uemmfundishwa wapi hayo? wakati Yesu kwenye biblia ananukuliwa akisema, hakuleta amani bali kaleta upanga? Mimi kama Muislam nasema waliyoiandika hiyo biblia wamemzulia tu. Wewe unasemaje?
 
Misukuke Again. RELIGION IS AN OPIUM OF THE PEOPLE by Karl Marx yaan
Binadamu Mpumbavu mnyime Mirungi, Bangi, Cocaine nk weee mpe Neno tuuuuuu likisha mwingia atakuwa teja na Ndondocha mpaka anaingia kaburini akili imevurungwa.
Tufanye mambo kwa kiasi. Dini zetu ndio ustaarabu wetu tuwe na kiasi
Karl Marx hakuwa na uelewa wowote kuhusu dini na Iman.
Sio sahihi kumfuata
 
Si kweli. Hakuna dini yenye amani na isiyo na chuki na yeyote zaidi ya Uislam. Tusidanganyane tafadhali.

Uisla m ungekuwa na chuki unafikiri leo hii ungeuona Ukristo ardhi hii? Fikiri kabla hujajibu kishabiki.
Uislamu ulishajaribu kuuondosha Ukristo hapo awali Ila wakashindwa.Usijisahaulishe mkuu.Au unasemaje "muislamu mwenzangu"?
 
Msanii maarufu ambae ameshinda tuzo tofauti kwa uigizji, amesilimu.

Ni mwigizaji wa Nigeria, mtengenezaji wa filamu na mfanyabiashara, Mercy Aigbe ambaye hivi karibuni amesilimu. Kusaidia Hadithi za Uongofu wa Kiislamu.

Mercy ambae amechaguwa kw sasa aitwe Hajiya Meena amesilimu mwezi wa Ramadhan iliyopita baada ya kujifikiria kwa muda mrefdu. Mwaka huu pia amekwenda Makkah Kuhiji.

Allahu Akbar.

kuna watu watakereka.. m.mungu amfanyie wepesi adumu katika dini ya haki
 
Misukuke Again. RELIGION IS AN OPIUM OF THE PEOPLE by Karl Marx yaan
Binadamu Mpumbavu mnyime Mirungi, Bangi, Cocaine nk weee mpe Neno tuuuuuu likisha mwingia atakuwa teja na Ndondocha mpaka anaingia kaburini akili imevurungwa.
Tufanye mambo kwa kiasi. Dini zetu ndio ustaarabu wetu tuwe na kiasi
Uislam siyo "religion" Uislam ni way of life.

Religion ni zile ambazo zipo na rituals, Uislam ni spiritual.


Naamini wengi hawajamuelewa Karl Marx kama vile ambayo hawauelewi Uislam.

Uislam ukianza kuulewa tu basi nakuahidi hautaweza kuwacha kuwa Muislam.
 
Mfumo wa maisha ya kiislam ni mzuri ila nowdays umeingiliwa sana barobaro na slayqueens. Mijini waislam wanaishi kinafki sana.

Mtu anakua muislam kwenye mfungo tu, fundishaneni kistaarabu kidogo ila na hao madogo wasikimbie madrasa.Huenda mnatumia njia za kizamani kwenye dunia ya kisasa.
 
Dah, uemmfundishwa wapi hayo? wakati Yesu kwenye biblia ananukuliwa akisema, hakuleta amani bali kaleta upanga? Mimi kama Muislam nasema waliyoiandika hiyo biblia wamemzulia tu. Wewe unasemaje
Yesu ni mfalme wa amani na ndivyo tulivyo we don't fight for so called dini unlike you
 
Kuna yule mdada sijui ni msanii ama ni supastaa tuu ila ana makalio makubwa kuliko anaitwa Sanchi sijui Santo, naye kuna kipindi alibadili dini akaanza kuvaa nguo za kujisitiri.

Sijui anaendeleaje kwa sasa.

Nimejikuta namkumbuka tuu.

Ni mafikirio ya akili za Kasinde tuu, nothing else.
 
Back
Top Bottom