Vandetta
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 1,572
- 1,951
wanasema katika dunia ya sasa ya teknolojia ya digitalal, information is power.
ila jf siku hizi tunapitwa sana na habari. inawezekana member wengi umri wetu umeenda, hatuwezi tena kukimbizana na kasi ya vijana wa instagram na twitter ktk kutafuta habari.
kule instagram na twitter habari za kifo cha huyu msanii zimeanza kusambaa masaa sita yaliyopita. hapa jf habari hii imeanza kuwa reported masaa mawili yaliyopita.
RIP mbalamwezi.
Sure Jf inaanza kupungua kasi