Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

wanasema katika dunia ya sasa ya teknolojia ya digitalal, information is power.

ila jf siku hizi tunapitwa sana na habari. inawezekana member wengi umri wetu umeenda, hatuwezi tena kukimbizana na kasi ya vijana wa instagram na twitter ktk kutafuta habari.

kule instagram na twitter habari za kifo cha huyu msanii zimeanza kusambaa masaa sita yaliyopita. hapa jf habari hii imeanza kuwa reported masaa mawili yaliyopita.
RIP mbalamwezi.


Sure Jf inaanza kupungua kasi
 
wanasema katika dunia ya sasa ya teknolojia ya digitalal, information is power.

ila jf siku hizi tunapitwa sana na habari. inawezekana member wengi umri wetu umeenda, hatuwezi tena kukimbizana na kasi ya vijana wa instagram na twitter ktk kutafuta habari.

kule instagram na twitter habari za kifo cha huyu msanii zimeanza kusambaa masaa sita yaliyopita. hapa jf habari hii imeanza kuwa reported masaa mawili yaliyopita.
RIP mbalamwezi.
Uzee huu mzee mwenzangu..
Sio kila mtu anakaa jf all the time
Ila Kule Instagram vijana wengi wanakesha muda wote
 
Nasikia mwili wake umeokotwa ukiwa hauna nguo, sijui alikumbwa na nini kaka wa watu maskini.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Skuizi jf inalala sana, hata Facebook kule Kweny page yao,habari wanapost masaa 6 hadi 8 mbele wakati wenzao ITV,Azam wanapost habar mapema sana tu zikitokea
labda uongozi wa jf hauna enough manpower ya kuratibu kurasa zao za social media. kwa mfano page ya millard ayo na page ya global publisher zina ma reporter karibia kila mkoa na kila wilaya.

ndio maana ni rahisi kwao kufika eneo la tukio kwa wakati na kuripoti kwenye kurasa zao.
 
Saturday , 15th Dec , 2018

Msanii wa kundi la The Mafik anayejulikana kwa jina la Mbalamwezi, amekamatwa na jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni kwa tuhuma za wizi.


Tukio hilo limetokea hapo jana baada ya msanii huyo kumuibia dereva wa gari ya moja ya kampuni zinazotoa huduma za usafiri binafsi jijini Dar es salaam (Taxify), aliyejulikana kwa jina la Calvin.

Akisimulia tukio hilo Calvin amesema Mbalamwezi aliitisha usafiri akitumia simu ya mwenzake, lakini alipokuwa njiani alionekana kuwapigia simu watu kuomba hela kwani hakuwa na pesa ya kumlipa dereva, na ndipo alipochukua uamuzi wa kumuibia dereva baada ya kumfanya apoteze fahamu.

Meneja wa kundi la The Mafik aliyejitambulisha kwa jina la Kapasta amesema ni kweli kuna hilo tukio, lakini ndio yuko njiani akielekea kituo cha Polisi Oysterbay ambako msanii huyo amewekwa rumande ili ajue kinachoendelea.

East Africa Television ilifanya jitihada za kumtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Jumanne Muliro, lakini alijibu hawezi kuzungumza kwa wakati huo kwani alikuwa kwenye ziara ya Waziri Mkuu.





Ohooo
 
praise team watasema jamaa alikuwa mtu wa chadema maana huo mtaa si ndio HQ ya chadema?!.....natania tu, sio vibaya kuchombeza utani msibani, ndio desturi yetu waswahili. [emoji16][emoji16][emoji16]
Duh alikuwa anakaa opposite na nyumba ya mufti wa tz.....
Praise team tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Back
Top Bottom