Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Kundi kubwa la mziki hawana special security wa kutembea nao?
Na ukishakua msanii mkubwa kutembea tembea ovyo sio sawa , bora ukae nyumbani ulale. ,tembea kwa lengo maalum labda either unaenda kusain deal au kufanya airtime kwenye redio, na zaidi ukiwa unaelekea huko hakikisha una ulinzi na usiende na miguu....kama huna gari, basi ita hata UBER.
 
Saturday , 15th Dec , 2018

Msanii wa kundi la The Mafik anayejulikana kwa jina la Mbalamwezi, amekamatwa na jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni kwa tuhuma za wizi.


Tukio hilo limetokea hapo jana baada ya msanii huyo kumuibia dereva wa gari ya moja ya kampuni zinazotoa huduma za usafiri binafsi jijini Dar es salaam (Taxify), aliyejulikana kwa jina la Calvin.

Akisimulia tukio hilo Calvin amesema Mbalamwezi aliitisha usafiri akitumia simu ya mwenzake, lakini alipokuwa njiani alionekana kuwapigia simu watu kuomba hela kwani hakuwa na pesa ya kumlipa dereva, na ndipo alipochukua uamuzi wa kumuibia dereva baada ya kumfanya apoteze fahamu.

Meneja wa kundi la The Mafik aliyejitambulisha kwa jina la Kapasta amesema ni kweli kuna hilo tukio, lakini ndio yuko njiani akielekea kituo cha Polisi Oysterbay ambako msanii huyo amewekwa rumande ili ajue kinachoendelea.

East Africa Television ilifanya jitihada za kumtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Jumanne Muliro, lakini alijibu hawezi kuzungumza kwa wakati huo kwani alikuwa kwenye ziara ya Waziri Mkuu.




Mmh
 
wanamionekano ya ajabu ajabu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kna mwanangu mmja alikuwa anawapelekea cnbs
Daily supplier wao Ngj ntamgusa nkionana lzma Atakuwa kwenye masikitiko Sahv ya kupotelewa na mwana

Ova
 
Back
Top Bottom