misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Mkuu ukabwa wa msanii una sifa zipi? Samahani lakini tunaomboleza ila tukibadilishana mawili matatu kwenye msiba wa MBALAMWEZIKundi kubwa la mziki hawana special security wa kutembea nao?
Na ukishakua msanii mkubwa kutembea tembea ovyo sio sawa , bora ukae nyumbani ulale. ,tembea kwa lengo maalum labda either unaenda kusain deal au kufanya airtime kwenye redio, na zaidi ukiwa unaelekea huko hakikisha una ulinzi na usiende na miguu....kama huna gari, basi ita hata UBER.