Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Freak accidents have been known to rip clothes off a victim so let's not jump to conclusions until post mortem results.
 
Nimemsikia Mjomba wa marehemu anasema marehemu alikutwa amevuliwa nguo zote na madaktari wanasema alikanyagwa na gari maana utumbo ulikuwa nje wote na alisha haribika hivyo atazikwa kesho.
Sidhani kama alivuliwa nguo, mbali zilivutwa na impact ya ajali. As I said, freak accident, Najiuliza Je aliruka from a moving vehicle, alikua dragged with the vehicle au ilikua hit and run that ripped his clothes off?
 
Sidhani kama alivuliwa nguo, mbali zilivutwa na impact ya ajali. As I said, freak accident, Najiuliza Je aliruka from a moving vehicle, alikua dragged with the vehicle au ilikua hit and run that ripped his clothes off?
Impact ya ajali ndo inamvua hadi boxer?

Au Mimi ndo sijaelewa maana ya kukutwa bila nguo?

Ok ujana maji ya moto labda dogo havaagi boxer,imetoka suruali pekee basi mambo yakawa hadharani.
 
Kaka kigogo 2014 amesema watoto tusipende wake za watu.
Mimi na binafsi yangu tumemuelewa.
 
Sidhan mkuu...mwanzo walikua fasta mbona,hii issue imeanza juz kati tu..alafu habari nyingi ni zile common ,huitaji kua na reporter kila mkoa ili kuzipata
labda uongozi wa jf hauna enough manpower ya kuratibu kurasa zao za social media. kwa mfano page ya millard ayo na page ya global publisher zina ma reporter karibia kila mkoa na kila wilaya.

ndio maana ni rahisi kwao kufika eneo la tukio kwa wakati na kuripoti kwenye kurasa zao.
 
Nimemsikia Mjomba wa marehemu anasema marehemu alikutwa amevuliwa nguo zote na madaktari wanasema alikanyagwa na gari maana utumbo ulikuwa nje wote na alisha haribika hivyo atazikwa kesho.

gari likaenda kumtupa ufukweni?
 
gari likaenda kumtupa ufukweni?

Hapana sema hujaelewa tuu kwa hali ya kawaida ni kwamba alifanyiwa unyama kabisa na alipigwa kwanza na wakamkanyaga na gari na kumvua nguo na kwenda kumtupa!
 
Hapana sema hujaelewa tuu kwa hali ya kawaida ni kwamba alifanyiwa unyama kabisa na alipigwa kwanza na wakamkanyaga na gari na kumvua nguo na kwenda kumtupa!
Kweli damu ya mtu si mchezo. Sasa mkishamkanyaga na gari si bora mumuache barabarani tu ionekane kagongwa na gari?
 


Maelezo haya yanasikitisha sana. Huyu dulla anajua kilichotokea kwanini ataje salasala na marehemu kakutwa mbezi kuna uwezekano aliteswa sala sala aatupwa mbezi na alijuaje vifaa ni vya nani lazma alimuona navyo salasala ... na hao vijana wenzake wanajua pia wameendaje kuchukua vifaa na walijuaje vipo kwa mtendaji kwanini wamwite mwenzao chizi wakati interview nyingine walisema alienda kwenye mishe zake tu ina maana walikuwa wanajaribu kumrubuni wapate vifaa na simu...kwanini wako worried na vifaa na simu kuliko rafiki yao..badala ya kuuliza nani kabileta maaana tunamtafuta ni ndugu yetu wanataka wapewe waondoke navyo..hakika kama kuna dna watakuta fingerprint zao kwenye gitaa na kwanini hawakuenda kuvifuata tena vifaa baada ya kuambiwa waende polisi...kama wanajua alipotea kwanini hawana rb? Jamaa walikua wanajua msela keshachomoa.
 
Vp hakuingiliwa kinyume na maumbile kabla ya kupigwa?
 
Back
Top Bottom