Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

wanasema katika dunia ya sasa ya teknolojia ya digitali, information is power.

ila jf siku hizi tunapitwa sana na habari. inawezekana member wengi umri wetu umeenda, hatuwezi tena kukimbizana na kasi ya vijana wa instagram na twitter ktk kutafuta habari.

kule instagram na twitter habari za kifo cha huyu msanii zimeanza kusambaa masaa sita yaliyopita. hapa jf habari hii imeanza kuwa reported masaa mawili yaliyopita.
RIP mbalamwezi.
huwa hatupost udaku tunasubiri habari iwe verified ndiyo tunaipost.
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
Naona unatafuta connection ya tukio na ulimwengu usioonekana[emoji16][emoji16]lete findings mkuu
 
Back
Top Bottom