Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Jamaniii haunaaa nguooo tenaaa

Hope alisalimikaa na ....so saaaad
 
Dah si sawa katika wasanii ambao walipatwa na umauti ni uyu tu pekee ajaandikwa jina lake mpk kwenda kaburini sijui anaitwa mbalamwezi kwenye cheti chake awajamtendea haki
 
Dah si sawa katika wasanii ambao walipatwa na umauti ni uyu tu pekee ajaandikwa jina lake mpk kwenda kaburini sijui anaitwa mbalamwezi kwenye cheti chake awajamtendea haki
Jamaa amezikwa na kufa kiboya maskini ..

Yaani sijui alikumbwa na nini
 
Huyohuyo mkuu
Unavyosakata unanikuna mama Eh
Umenilevya na body
Sio chakakacha, wacheza kila ngoma
I wanna marry you, marry you (Uuuh)
Ukinitazama jicho la maringo (Eeeh)
Me nachapa fimbo
Ukiinama, ukiinuka fimbo
yna2 upo wapi nije nikuimbie ufurahi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kna mwanangu mmja alikuwa anawapelekea cnbs
Daily supplier wao Ngj ntamgusa nkionana lzma Atakuwa kwenye masikitiko Sahv ya kupotelewa na mwana

Ova
Najisikiaga raha sana mjani unapotajwa kwenye andiko lolote lile..
 
Kwa huyo ha
kwa huyo habari take lazima zitangulie insta huku kuna habari zake za kuwahi kufika mkuu!
 
Amewakosea nini?!
Wameshindwa kumshtaki kwenye vyombo vya sheria ?
Kwanini wamejichukulia sheria mkononi kwa kumuua?!

Inasikitisha shaka! [emoji24][emoji24]

Mungu amfariji mama yake na ndugu zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…