login-logout
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 246
- 363
Hilo tako channel 0 kama dawa kama kazi, na ninatimua vumbi hapo bila ndom...Dah umeona eee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo tako channel 0 kama dawa kama kazi, na ninatimua vumbi hapo bila ndom...Dah umeona eee
Hata kama kukiwa na kutokuelewana kuvujisha picha za uchi za demu wako sio maadili ya mwanaume anaejitambua
Hao basata ni muda gani wanatofautisha maisha binafsi na kazi ya sanaa? Wanataka kusema hizo video za ngono ni sanaa pia?
Nawaomba BASATA wawe wanachukua hatua kali mno. Hawa wanaoitwa Wasanii hujibanza huko kutafuta umaarufu kwa kuvunja maadili yetu kama Taifa. Kutokana na adhabu zisizotisha kwao wahusika, huwa wanapeana zamu ya kuachia mambo yao machafu hadharani. Bure kabisa hawa wanaojiita Wasanii!
Umeona mbali...mbona hawa kumuita gwajima?
Usanii kwa Tz ni moja ya kitega uchumi... pesa wanapata kwa biashara hiyo!Nawaomba BASATA wawe wanachukua hatua kali mno. Hawa wanaoitwa Wasanii hujibanza huko kutafuta umaarufu kwa kuvunja maadili yetu kama Taifa. Kutokana na adhabu zisizotisha kwao wahusika, huwa wanapeana zamu ya kuachia mambo yao machafu hadharani. Bure kabisa hawa wanaojiita Wasanii!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usipokula jicho la huyo manziii utakuwa mwehuu
Mzee baba Hawa wasanii dau lko tuDah umeona eee
Alipo hapo yeye mwenyewe hana maadili. Kila mtu kuna sehemu hana maadili... na kila mtu ana raha zakeHivi kwani mumelazimsihwa kutizama? Wao wanarusha kwa Starehe zao na sisi mashabiki wao tunatizama kwa starehe zetu. Nyinyi musiyoyapenda yapotezeeni tu nashangaa yanakushulisheni. Kwani hili Taifa lina maadili kwani? hao viongozi ndio wanaongoza kwa WIZI, USHIRIKINA na UZINZI.
Hata kama kukiwa na kutokuelewana kuvujisha picha za uchi za demu wako sio maadili ya mwanaume anaejitambua
Hiyo video iko wap??
Amelishwa tambuu na pariki yani arosto kuliko sembeYaani sijui umelishwa nini!!!