Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Bongo movie akili zao wanazijua wenyewe, kujikatisha mauno peke yake chumbani uchi. Kazi kweli kweli.
 
Nawaomba BASATA wawe wanachukua hatua kali mno. Hawa wanaoitwa Wasanii hujibanza huko kutafuta umaarufu kwa kuvunja maadili yetu kama Taifa. Kutokana na adhabu zisizotisha kwao wahusika, huwa wanapeana zamu ya kuachia mambo yao machafu hadharani. Bure kabisa hawa wanaojiita Wasanii!

Hivi kwani mumelazimsihwa kutizama? Wao wanarusha kwa Starehe zao na sisi mashabiki wao tunatizama kwa starehe zetu. Nyinyi musiyoyapenda yapotezeeni tu nashangaa yanakushulisheni. Kwani hili Taifa lina maadili kwani? hao viongozi ndio wanaongoza kwa WIZI, USHIRIKINA na UZINZI.
 
Nawaomba BASATA wawe wanachukua hatua kali mno. Hawa wanaoitwa Wasanii hujibanza huko kutafuta umaarufu kwa kuvunja maadili yetu kama Taifa. Kutokana na adhabu zisizotisha kwao wahusika, huwa wanapeana zamu ya kuachia mambo yao machafu hadharani. Bure kabisa hawa wanaojiita Wasanii!
Usanii kwa Tz ni moja ya kitega uchumi... pesa wanapata kwa biashara hiyo!
 
Hivi kwani mumelazimsihwa kutizama? Wao wanarusha kwa Starehe zao na sisi mashabiki wao tunatizama kwa starehe zetu. Nyinyi musiyoyapenda yapotezeeni tu nashangaa yanakushulisheni. Kwani hili Taifa lina maadili kwani? hao viongozi ndio wanaongoza kwa WIZI, USHIRIKINA na UZINZI.
Alipo hapo yeye mwenyewe hana maadili. Kila mtu kuna sehemu hana maadili... na kila mtu ana raha zake
 
Usipokula jicho la huyo manziii utakuwa mwehuu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Back
Top Bottom