Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Basata wamemuitia nini?Hiyo ni police case nadhani au kesi ya TCRA
 
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limemuita msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Menina ofisini kwake kwa mahojiano zaidi kuhusu video zake chafu zinazosambaa mtandaoni.

Taarifa hiyo iliyotolewa leo Oktoba 11, 2019 na Katibu Mtendaji BASATA, inamtaka msanii huyo kufika katika Ofisi za BARAZA hilo mchana wa leo.

Kwa siku mbili zilizopita kumekuwa na video chafu mitandaoni zikimuonesha, Menina akiwa utupu huku akijirekodi kwa njia ya simu.

View attachment 1229614
Video iko wapi?
 
hii kitu imenikumbusha vitu flani,,

Nakumbuka kuna jamaa mmoja aliitwa john njema kwa wanaomkumbuka wayback aliimba wimbo wa wachumba thelathini..huyu jamaaa alikumbwa na kisanga kama hicho at the end alijiua

Jamaa alipataga ugonjwa wa akili akawa anatembea uchi..anarob rob tu mtaani na suti yake ya kuzaliwa bila wasi...jamaa baada ya kupona akawa anapewa stori kuwa alikua anatembea uchi ..inaonekana ile kitu ilimsumbua sana mpaka akaamua ajiue..

Kuna mcheza porn pia anaitwa mia khalifa now ameacha kucheza porn na juzi kati alichumbiwa na mshikaji akataka amuoe..kwenye interview aliulizwa ni kitu gani kinachokutatiza kwenye maisha yako,akajibu hana amani kila sehemu anayokwenda watu wanamshangaa sana na kumtizama kwa jicho flani, like they know kila kitu kuhusu utupu wake ..
 
Back
Top Bottom