Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Kwenye adhabu wapo juu ila wanavoangamia na ma unga kimyaa wamuite chidi vitz wamsaidie
 
Ukuu ile picha tu watoto wavivu kama wale unawapiga kichuma mboga au mbuzi kagoma ndio unamfaidi nashangaa mwijaku sijui alikua anamuonea huruma akamuacha alale
Mwijaku naye unamuona kidume yule mkuu.... Huyu anataka sisi ngumu kumeza..
 
Hamna mkuu, ni kutaka kuiga na watu wanatizama sana porno ndio maana inapelekea haya mambo. Mbona wapo watu wanapenda sana lakini hawafanyi huo upuuzi?
Maana yangu ni kuwa ushawishi ni mkubwa sana penzi likiwa changa.
 
Nawaomba BASATA wawe wanachukua hatua kali mno. Hawa wanaoitwa Wasanii hujibanza huko kutafuta umaarufu kwa kuvunja maadili yetu kama Taifa. Kutokana na adhabu zisizotisha kwao wahusika, huwa wanapeana zamu ya kuachia mambo yao machafu hadharani. Bure kabisa hawa wanaojiita Wasanii!
Hatua kali mno ndio kitu gani!?
sema hatua za kisheria stahili
 
Kwahiyo BASATA wameona mambo! Waliangalia wote kwa pamoja au kila mmoja kivyake afu wakakaa mezani kujadili?
 
Sure kabisa Dina mtoto ananyonya dole kwa Raha zake

Naomba namba zake huyu hapaswi kushtakiwa anapaswa apewe tuzo kama zile VNA mamtoni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namba mi sina mfate insta
 
Eti watu wanamlaum Mwinjaku wakat Menina anaonekana anasaula mwisho kabsa ananekana akienda kuzma kamera alokuwa akijirekod hapo jamaa anahuska vp? Mm nachoelewa [Menina] anatafuta soko.
 
Amberruty alifanyiwa vile kwavile ni kizbo (syo mzuri) afu alionekana mchaf ila madem wakal hawafungwi, hupigwa dushe kisha kuachiwa. Ref:Lulu, angekuwa mtu wa kawaida hadi leo angekuwa ndani ata ivo cna uhakka kama alkuwa analala gerezani huenda ni mchongo. Sorry lakn ivi mwanamke akifungwa yy hanyolew nywele?
 
Back
Top Bottom