Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
MKONGWE wa Tasnia ya Maigizo nchini Mohammed Fungafunga maarufu Kama Mzee Jengua amefariki dunia asubuhi ya Disemba 15 huko Mkuranga, mkoani Pwani.
Marehemu alikua akisumbuliwa na Maradhi ya Kiharusi.
Enzi za uhai wake, Mzee Jengua alikua akiigiza Maigizo kama vile Kidedea, Handsome wa Kijiji, Kashinde na zingine nyingi.
Mungu aiweke roho yake mahala pema.
Ameen.
=======
Jengua amefariki leo asubuhi, kwa taarifa ya awali tunatarajia kumzika kesho saa nne asubuhi Mburahati, amefia nyumbani kwa Mtoto wake Mkuranga, sio vyema kusema maradhi ya Mwenzetu kwasababu Daktari ndiye anaweza kuthibitisha kifo ila ameumwa kwa muda kidogo, nashindwa kusema hapa kifo kimetokana na nini”-Chiki Mchoma, Mwenyekiti wa Waigizaji
Picha: Mzee Jengua enzi za Uhai wake
Marehemu alikua akisumbuliwa na Maradhi ya Kiharusi.
Enzi za uhai wake, Mzee Jengua alikua akiigiza Maigizo kama vile Kidedea, Handsome wa Kijiji, Kashinde na zingine nyingi.
Mungu aiweke roho yake mahala pema.
Ameen.
=======
Jengua amefariki leo asubuhi, kwa taarifa ya awali tunatarajia kumzika kesho saa nne asubuhi Mburahati, amefia nyumbani kwa Mtoto wake Mkuranga, sio vyema kusema maradhi ya Mwenzetu kwasababu Daktari ndiye anaweza kuthibitisha kifo ila ameumwa kwa muda kidogo, nashindwa kusema hapa kifo kimetokana na nini”-Chiki Mchoma, Mwenyekiti wa Waigizaji
Picha: Mzee Jengua enzi za Uhai wake