Subiri uone. Kuna watu wana uwezo wa kukuuzia mti wakakwambia ni almasi na ukaamini.Hana vigezo vya kumfanya aonekane wa tofauti na wenzie. Anaimba kawaida Tena bora hata ya lavalava. Tulitegemea tutaletewa msanii anayeimba kileoleo.style za kina Rema, Ruger etc. Mnatuletea msanii anaimba kama mzee yusuf ama mwandei. Nope hapa mmebugi wazee
Huyo mwamba kwenye profile yako namkubali kinomanoma.Tulia kijana, muda utaongea.
Yuo vizuri lakini style yake ya uimbaji na exposure hakuna kitu tunahitaji wasanii broadminded ili kucompete na soko la mziki wa sasa huyo hawezi kucompete na wapopo..huyo hana utofauti na wasanii wengine wa wcb wote waimba taarabu tuYaan watu hawana jicho la tatu kabisaa...siku ya kwanza tuu namsikia huyu dogo..ubongo wangu uli sense kitu kwake...na sikumpuuza nikajisemea tu moyoni kana uwezo...kumbe sikuona mimi tu...yupo vizur sana..muda ni mwalim mzuri
Diamond na timu yake wanafanya biashara ya muziki na burudani, wakati sisi tunaona bidhaa haifai watauza na watu watakula.Hana vigezo vya kumfanya aonekane wa tofauti na wenzie. Anaimba kawaida Tena bora hata ya lavalava.
Tulitegemea tutaletewa msanii anayeimba kileoleo style za kina Rema, Ruger etc.
Mnatuletea msanii anaimba kama mzee yusuf ama mwandei.
Nope hapa mmebugi wazee
Wale wapo kibiashara mkuu...na watauza tu...Yuo vizuri lakini style yake ya uimbaji na exposure hakuna kitu tunahitaji wasanii broadminded ili kucompete na soko la mziki wa sasa huyo hawezi kucompete na wapopo..huyo hana utofauti na wasanii wengine wa wcb wote waimba taarabu tu
Hana vigezo vya kumfanya aonekane wa tofauti na wenzie. Anaimba kawaida Tena bora hata ya lavalava.
Tulitegemea tutaletewa msanii anayeimba kileoleo style za kina Rema, Ruger etc.
Mnatuletea msanii anaimba kama mzee yusuf ama mwandei.
Nope hapa mmebugi wazee
Hajakuletea wewe amejiletea yeye kwa faida na hasara yake, wewe wasikilize wale wanaoimba usasa tu mkuu usiteseke dunia ni panaHana vigezo vya kumfanya aonekane wa tofauti na wenzie. Anaimba kawaida Tena bora hata ya lavalava.
Tulitegemea tutaletewa msanii anayeimba kileoleo style za kina Rema, Ruger etc.
Mnatuletea msanii anaimba kama mzee yusuf ama mwandei.
Nope hapa mmebugi wazee
Mafanikio kwenye.mziki ni zaid.ya.sauti. na mazoezi!!!Hana vigezo vya kumfanya aonekane wa tofauti na wenzie. Anaimba kawaida Tena bora hata ya lavalava.
Tulitegemea tutaletewa msanii anayeimba kileoleo style za kina Rema, Ruger etc.
Mnatuletea msanii anaimba kama mzee yusuf ama mwandei.
Nope hapa mmebugi wazee
Niko poa mkuu,VP waendeleaje?