Hana vigezo vya kumfanya aonekane wa tofauti na wenzie. Anaimba kawaida Tena bora hata ya lavalava.
Tulitegemea tutaletewa msanii anayeimba kileoleo style za kina Rema, Ruger etc.
Mnatuletea msanii anaimba kama mzee yusuf ama mwandei.
Nope hapa mmebugi wazee
Tulitegemea tutaletewa msanii anayeimba kileoleo style za kina Rema, Ruger etc.
Mnatuletea msanii anaimba kama mzee yusuf ama mwandei.
Nope hapa mmebugi wazee