mkuu ni kweli wanapanda coaster tour kibao za kamati za bunge,elewa hivyo na huo ni ukweli,kama hautotuamini tunaohusika maeneo hayo basi,utakuwa umezaliwa kubisha...nimekaa dodoma kikazi mwaka mmoja hilo jambo sikuwahi kuliona au labda limeanza enzi hizi za Kazi tuu..Pia kulalamika posho ndogo sio kukubali kupanda hizo bus..Sikubaliani na wewe 100% nipe ushahidi wa kipande cha habari kinachoonyesha transportation system inavyokua na hizo bus ziwe included kwa conditions kadhaa
....unajichanganya sana dogo...ila,Basi vice versa is true hao maarufu unaowasema!! hawana kitu huko mjini ni mboyoyo tu... Hip hop halisi wanajitambua na mashabiki wake ni real ...wanauza sana t shirt, Albams, mix tapes, concerts, show za kubufu na bado wanafanya kazi za kijamii sio zama zile mzee.. hebu wasapoti kwa kudownload Apllication inaitwa African Music Now usikilize Hip Hop halisi sio za kiwaki mnazolazimishwa kuskiliza
Kitambo sana! Elimu yake alishaiweka pembeni siku nyingi sanaNiki ni jamaa moja wa kujikomba komba kwa wenye pesa hasa ccm
Amepoteza sifa za chugani
Kunawatu wabishi jamni hawa ndio wale wanaombiwa yesu atarudi tena dunia wao watabisha nani kaenda akarudinimekaa dodoma kikazi mwaka mmoja hilo jambo sikuwahi kuliona au labda limeanza enzi hizi za Kazi tuu..Pia kulalamika posho ndogo sio kukubali kupanda hizo bus..Sikubaliani na wewe 100% nipe ushahidi wa kipande cha habari kinachoonyesha transportation system inavyokua na hizo bus ziwe included kwa conditions kadhaa
Nikki kasoma yale masomo mepesi ya kike unategemea nini.. Angesoma medicine. IT. Engineering. Law... Interview mademu 20 njemba 1
yani mi mwenyewe nampenda sana JohNapenda Nikki ila zaidi jo
walioachia o level ni alikiba na diamondUnamponda msomi Nick Wa Pili wakati wewe uliachia O level..
Hip hop aint change!! Kwani hao wa chuga hawatengenezi hela?? Wanazipiga kimya kimya!! Watengwa wanapiga shows kwenye mafestival mbefele, wanapiga shows za kutosha!! Project ziko mingi ushadownload application ya African Music Now?? Usikie project zao!! Wana hatua kuliko hao unaowasema wanatutangaza nje na show zao ndo maana wanaishia kumiliki vipaso... Nje tulishatangazwa na X plastaz long time
Linganisha maendeleo ya hao maarufu na underground forever hip hop mceez wa Chuga
Anyway Albamu ya Chindo Torati ya Mtaa iko on the way ina nyimbo 19..na inasambazwa kimtaa na inauzwa na watu wanamake money thats hustling ... sio kusibir promo za XXL kumake money!!
We mgeni eeh?? Chindo man hapigwi huko clouds wala hata wewe unaeza usimjue ila kakomaa kichuga chuga anasimamia misingi, anauza albamu zake mixtapes n.k n.k na yko mbali kuliko huyo msomi wenu aliepanga sinza na kuendesha passo... wenzake chuga wana studio na wanaendesha 4X4
Mbaya zaidi wanao mponda wana vijimshahara vya laki sita kwa mwezi.chuki, wivu ,ujinga na Mazoea kuwa ukifanya kazi ya sanaa unatakiwa usiwe msomi, Nyie mnaodharau kazi yake mlitaka afanye kazi ipi kama kazi anayofanya anaipenda na inamuingizia kipato.
Jamaa analazimisha fani vilevile anasafiria nyota ya Joh Makini, hana ubavu wa kusimama yeye mwenyewe.anabebwa bebwa tu lakin hamna kitu...hajawai niinspire hata siku1 wenyw masters wapo wengi tu wametulia nao,majuzi kati nliona anawauliza wenzake maswali ya wadau JF
Wenye hiyo jeuri tuko wengi Lj. mwaka wa5 ss kitaa hustling zinaendelea na hata kajimshipa ka kumlaumu mtukufu kwa kufungia ajira hamna.Si aliimba kua hataki kazi.mbona nae anasombwa na fiesta ,hana lolote hakuna mwenye jeur ya kukataa ajira
HahahahaNikki kasoma yale masomo mepesi ya kike unategemea nini.. Angesoma medicine. IT. Engineering. Law... Interview mademu 20 njemba 1