Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba???R.I.P Mr Glady
hiyo siri yake,ila tunachojua kuwa huyu aliwahi kuishi na Nyoshi El Saadat,baada ya nyoshi kufiwa na mkewe,mnenguaji Rukia Bruno aliefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu sanaR.I.P ,kaugua nini?
Shogaake naniKamfuata Shoga ake Jaman khaa.
Nyoshi ana ngoma hiyo inajulikana. Basi nimepata jibu.hiyo siri yake,ila tunachojua kuwa huyu aliwahi kuishi na Nyoshi El Saadat,baada ya nyoshi kufiwa na mkewe,mnenguaji Rukia Bruno aliefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu sana
Hatari sana hiyo kumbe hii goma bado lipo aiseehiyo siri yake,ila tunachojua kuwa huyu aliwahi kuishi na Nyoshi El Saadat,baada ya nyoshi kufiwa na mkewe,mnenguaji Rukia Bruno aliefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu sana
Nasikia usipofuata masharti (adherence) ya kuzitumia hizo ARV basi huwezi kutoboa, ngoma itakulaza kaburini.Na ARV zilivojaa anaondokaje kirahisi hivyo?
Vifo karibia vyote vya watu maarufu vilivyoripotiwa humu hivi karibuni vimekuwa vikihusishwa na mdudu. Inawezekana kitaa hali sio nzuri.Nyoshi ana ngoma hiyo inajulikana. Basi nimepata jibu.
ARV Zina masharti,mama Bila bao zake 4 ilikua hakuachii😀Na ARV zilivojaa anaondokaje kirahisi hivyo?
Ha ha mkuu umezunguka kwelihiyo siri yake,ila tunachojua kuwa huyu aliwahi kuishi na Nyoshi El Saadat,baada ya nyoshi kufiwa na mkewe,mnenguaji Rukia Bruno aliefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu sana
Si ndivyo chain ilivyo kiongozi?Ha ha mkuu umezunguka kweli
Alikuwa chama gani huyu?Habari zilizotufikia hivi punde, Msanii na MC Maarufu, Gladness Chiduo 'Zipompa Pompa' amefariki dunia katika hospitali ya Rabinisia jijini Dar es Salaam.
Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Ununio.
Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi.