Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
That's my girl [emoji122] [emoji122] [emoji122]Hili ni jambo la kheri,halipaswi kabisa kubezwa.
Pamoja na madhaifu yake kama binadamu ila kwa hili nampongeza.
Ifikie mahali tuache unafiki,ni nani asiye na dhambi kati yetu?Kuvaa kwake hereni hakumzuii kujenga msikiti, ingekuwa ndio hivyo basi hata swadaka tulio wengi tusingetoa misikitini maana kama ni utimilifu ndio kigezo cha kutoa swadaka hakika hakuna aliye kamili zaidi ya Mtume Muhammad (S.A.W)
Allah akuzidishie kheri Nasib,uzidi kujenga misikiti mingine mingi watu wapate kufanya ibada na kumcha Mola wetu.
Misikiti mingi huku mitaani inajengwa kwa swadaka na michango mbalimbali yetu sisi waumini.Kidini hivi inaruhusiwa?
Mana mimi najua mziki ni haram na fedha anazojengea ni zao la muziki.
Kama nakosea nirejebishwe.
Wajuvi tujuzeni kama hii ni sahihi?
Kwa kweli mimi ni shabiki wa Diamond lakini kusema yeye ajenge msikiti na watu wakaswali kabisa siungi mkono. Anayo yafanya sidhani kama dini ina yaunga mkono.
Ni sawa sawa na jay z ajenge kanisa, au davido ajenge kanisa. Yaan haija kaa poa.
Yaani hapa umenikosha sana...... Ajabu hawaoni kuwa hizo sadaka twazitoa tena wengine tuna dhambi hatari diamond haoni ndani...Hili ni jambo la kheri,halipaswi kabisa kubezwa.
Pamoja na madhaifu yake kama binadamu ila kwa hili nampongeza.
Ifikie mahali tuache unafiki,ni nani asiye na dhambi kati yetu?Kuvaa kwake hereni hakumzuii kujenga msikiti, ingekuwa ndio hivyo basi hata swadaka tulio wengi tusingetoa misikitini maana kama ni utimilifu ndio kigezo cha kutoa swadaka hakika hakuna aliye kamili zaidi ya Mtume Muhammad (S.A.W)
Allah akuzidishie kheri Nasib,uzidi kujenga misikiti mingine mingi watu wapate kufanya ibada na kumcha Mola wetu.
mbagala.Africa ipi?
We mbona mama ako aishi kwenye nyumba mbavu za mbwa, mjengee walau hata ya tope ndio uje kusengenya wana wa wenzio.Huo ni msikiti au kajumba ka kunywea kahawa? Angejenga walau wenye size ya msikiti wa Mahita Moro au ule wa Ghadafi Dom tungemuelewa
Niko sawa sawa, kama unabisha pisha na ukae pembeni.Namba 1 africa? uko sawasawa wewe..?
Mwenzio kafanya mziki biashara ndio maana analipa kodi. Unadhani huyu ni sawa na wale surprise artists?Kwa hela hizhiz za muziki
Penye jema kutoa pongezi ni uungwana my love,[emoji8]That's my girl [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hakuna sehemu yoyote aliyojitangaza, ila mimi kama shabiki wa muziki wake nimeamua kumtangazia.Wanaojenga misikiti hawajitangazi
Hela ndo iliyomuuza Yesu mkuuMbona anavaa hereni uislamu unakubali kuvaa hereni?
Au ndio msemo wa baniani mbaya kiatu chake dawa?
Kuna sehemu nimesema TAJIRI, umekula kweli mchana au njaa njaa zako umekuja kwenye bandiko langu na nenge?Acha kudanganya watu Huyo diamond hayupo hata kumi bora Africa au nikupe orodha ya wasanii matajili afrika?
uislamu unaruhusu music ya kidunia na hereni na tatuuPamoja na kupata mafanikio makubwa kwenye muziki msanii number moja Afrika D. Platnumz Dangote pia amerudisha kwa jamii baada ya kutoa misaada mbalimbali na sasa atawasaidia waathirika wa mafuriko huko Iringa, pia anamalizia kujenga msikiti kwa ajili ya Ibada.
Ni mfano wa kuigwa sana huyu kijana. Wengine wanaishia kuvaa vaa mipete mara ya kijani,nyekundu,bluu sasa sijui wanaabudu majini na mazombi.
View attachment 445640
Binadamu utatuweza mama?Tena tukishakaa nyuma ya fake ID's wakamilifu ndio sisi, wajuaji wa kila kitu ndio sisi.Yaani hapa umenikosha sana...... Ajabu hawaoni kuwa hizo sadaka twazitoa tena wengine tuna dhambi hatari diamond haoni ndani...
Good job Diamond
Kwa mara ya kwanza umenifurahisha kumuongelea vizuri Diamond.Hili ni jambo la kheri,halipaswi kabisa kubezwa.
Pamoja na madhaifu yake kama binadamu ila kwa hili nampongeza.
Ifikie mahali tuache unafiki,ni nani asiye na dhambi kati yetu?Kuvaa kwake hereni hakumzuii kujenga msikiti, ingekuwa ndio hivyo basi hata swadaka tulio wengi tusingetoa misikitini maana kama ni utimilifu ndio kigezo cha kutoa swadaka hakika hakuna aliye kamili zaidi ya Mtume Muhammad (S.A.W)
Allah akuzidishie kheri Nasib,uzidi kujenga misikiti mingine mingi watu wapate kufanya ibada na kumcha Mola wetu.
Kwakuongezea tu ni kwamba,kuna mizani ya kupima heri(mema)na mabaya,hili ni jambo la kheri,aungwe mkono.Hili ni jambo la kheri,halipaswi kabisa kubezwa.
Pamoja na madhaifu yake kama binadamu ila kwa hili nampongeza.
Ifikie mahali tuache unafiki,ni nani asiye na dhambi kati yetu?Kuvaa kwake hereni hakumzuii kujenga msikiti, ingekuwa ndio hivyo basi hata swadaka tulio wengi tusingetoa misikitini maana kama ni utimilifu ndio kigezo cha kutoa swadaka hakika hakuna aliye kamili zaidi ya Mtume Muhammad (S.A.W)
Allah akuzidishie kheri Nasib,uzidi kujenga misikiti mingine mingi watu wapate kufanya ibada na kumcha Mola wetu.
Kila mtu na zama zake, ndio maana nikasema bora kwa mwaka huu. Wala sijazungumzia utajiri ila ubora wa msanii. Hao uliowataja walikuwa bora kwa wakati wao sasa hivi wamebaki kupewa heshima tu. NIMEELEWEKAHuge masekela, Yousou N'dor, Salif Keita, Manu Dibangu, Oliver Mutukudzi wako bara lipi na namba gani?
Dah,the Bold!Penye jema kutoa pongezi ni uungwana my love,[emoji8]
Thanks
nikikumbuka hii I'D yako na ike ya le mutuz nacheka sanaUnajengwa wapi mkuu.
Umepata wapi mamlaka ya kumhukumu mwenzio.."INNA LLAHA TWAYYIBUN LA YAQBALU ILLA TWAYYIBA" INA MAANA KUWA "HAKIKA YA ALLAH(MW/MUNGU) NI MZURI HAKUBALI ILA VILIVYO VIZURI". PERIOD. ILA MLANGO WA TOBA UPO AKIACHA AYAFANYAYO NA KUMREJEA MOLA WAKE BASI ATASAMEHEWA KWANI HAKIKA YA MW/MUNGU NI MWINGI WA MSAMAHA KWA WAJA WAKE.