Msanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)

Msanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)

Misikiti mingi huku mitaani inajengwa kwa swadaka na michango mbalimbali yetu sisi waumini.
Kuna anayejua kila swadaka/mchango wa muumini chanzo chake ni khalal?
Ni wapi swadaka ya muumini imewahi kukataliwa msikitini?
Tena wengine ni 'madon' wa sembe na Masheikh wanajua fika ila swadaka zao wanazipokea.

Allah ndiye hakimu,atamhukumu kila mmoja wetu kwa kadiri ya aliyoyatenda.
Period
Unawapa benefit of doubt hao wachangiaji wengine, lets say msikiti ungekuwa una jengwa na mmiliki wa cartel ya drugs na tuna mfahamu pia ninge pinga.

Yale yaliyo wazi tuyapinge, ya walio jificha Mungu mwenyewe ata amua ilimradi kwa dhamiri zetu tuna jua kabisaa tunaingia masjid hatujui aliye changia ni mtu gani.

Diamond kujenga msikiti, sidhani kama ki imani limekaa sawa. Any way hayo ni mawazo yangu mimi.
 
Unawapa benefit of doubt hao wachangiaji wengine, lets say msikiti ungekuwa una jengwa na mmiliki wa cartel ya drugs na tuna mfahamu pia ninge pinga.

Yale yaliyo wazi tuyapinge, ya walio jificha Mungu mwenyewe ata amua ilimradi kwa dhamiri zetu tuna jua kabisaa tunaingia masjid hatujui aliye changia ni mtu gani.

Diamond kujenga msikiti, sidhani kama ki imani limekaa sawa. Any way hayo ni mawazo yangu mimi.
Wanaojenga nyumba za ibada wengi kwa dini zote ni mashaka matupu,wengine wamewaibia wanachi,wengine wakabaji,wengine wauaji ila kuna muda unatafuta nusura unamgeukia mungu,si kitu kibaya,ila kuhoji uhalali tutapasuka vichwa.
 
Wanaojenga nyumba za ibada wengi kwa dini zote ni mashaka matupu,wengine wamewaibia wanachi,wengine wakabaji,wengine wauaji ila kuna muda unatafuta nusura unamgeukia mungu,si kitu kibaya,ila kuhoji uhalali tutapasuka vichwa.
Sasa mkuu
Mbona nimejibu hapo, kuwa tuwape benefit of doubt, at least mambo yao ambayo ni kinyume na dini hayako wazi kama kama diamond.
Na ikitokea lets say mtu kama Irene Uwoya aka jenga kanisa naye nitaona haija kaa poa, na hao wengine kujenga misikiti haim justfy diamond, kwa kuwa mostly mambo yao hayapo wazi kwenye jamii hapo tuna muachia Mwenyez Mungi ajaji mwenyewe.
 
Mna kazi.Wewe ni publicity secretary wake?Mmm.

Sawa hata hivyo,kwa kuwa hayo ndiyo kati ya maagano."Tutakufanya kuwa mfadhili." Sasa kweli yametimia..
Pamoja na kupata mafanikio makubwa kwenye muziki msanii number moja Afrika D. Platnumz Dangote pia amerudisha kwa jamii baada ya kutoa misaada mbalimbali na sasa atawasaidia waathirika wa mafuriko huko Iringa, pia anamalizia kujenga msikiti kwa ajili ya Ibada.

Ni mfano wa kuigwa sana huyu kijana. Wengine wanaishia kuvaa vaa mipete mara ya kijani,nyekundu,bluu sasa sijui wanaabudu majini na mazombi.

View attachment 445640
 
Unawapa benefit of doubt hao wachangiaji wengine, lets say msikiti ungekuwa una jengwa na mmiliki wa cartel ya drugs na tuna mfahamu pia ninge pinga.

Yale yaliyo wazi tuyapinge, ya walio jificha Mungu mwenyewe ata amua ilimradi kwa dhamiri zetu tuna jua kabisaa tunaingia masjid hatujui aliye changia ni mtu gani.

Diamond kujenga msikiti, sidhani kama ki imani limekaa sawa. Any way hayo ni mawazo yangu mimi.

Na ni haki yako pia,ni vyema kila mtu abaki na mawazo yake...asimamie kile anachokiamini.
 
Sasa mkuu
Mbona nimejibu hapo, kuwa tuwape benefit of doubt, at least mambo yao ambayo ni kinyume na dini hayako wazi kama kama diamond.
Na ikitokea lets say mtu kama Irene Uwoya aka jenga kanisa naye nitaona haija kaa poa, na hao wengine kujenga misikiti haim justfy diamond, kwa kuwa mostly mambo yao hayao wazo kwenye jamii hapo tuna muachia Mwenyez Mungi ajaji mwenyewe.
Kweli kabisa,huenda sikusoma vema
 
Back
Top Bottom