Wasanii huwa wanarecord ngoma na wanazisikiliza wenyewe hata mwaka mkuu then ndo tunakuja kusikiaHIVI NYIMBO YA SINA JAMBO YA BILNAS IMETOKA MWAKA 2016!!!???
SawaWasanii huwa wanarecord ngoma na wanazisikiliza wenyewe hata mwaka mkuu then ndo tunakuja kusikia
Lolmambo mengine hata hayapendezi kwenye macho ya watu
Ila mambo mengine ni ya kujitakia, kweli dunia ya Leo ni ya kujirekodi uko faragha na mpenzi wako tena unajijua ni staa? Mimi pamoja na kwamba sio staa huwezi ukanirekodi/kujirekodi tukiwa kwenye mambo hayo, kwanza najirekodi ili nimuonyeshe nani hayo mambo ya 'siri'? Huu ushamba wa smartphone utawacost sanaWakati mwingine umaarufu ni gharama sana, apo kinachomuumiza zaidi ni watu watamuonaje /watamchukuliaje dah Mungu amtie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
NB:Mungu huwarudi anaowapenda kwa namna tofauti tofauti ni wakati wake kubadilika kama kuna mahali hampendezi Mungu, asifokas maneno ya watu mana hata hao watu kuna mahali si wakamilifu pia
Alikoswa koswa kuanikwa? Kivipi hebu tupe maelezoKumbe alishawahi kukoswa koswa kuanikwa bado akarecord tena?
Inaonekana wazi Nandy ndo kavujisha kumkomoa Bill Nas