Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkali wa slang ngumu upo?Inawezekana walitaka kurekodi ili kujikumbushia.
Pengine kuna mtu jongoo hapandi mti mpaka apate kitu cha kupata kick, halafu hawataki kumuangalia mtu mwingine, wanataka kujiangalia wenyewe.
Wana haki ya kujirekodi, ila hawana haki ya kupoteza walivyojirekodi maana video zinaweza kufika mpaka machoni pa watoto wasiotakiwa kuona mambo ya wakubwa.
Kwangu, ana lawama za kuruhusu video kupotea, hana lawama za kuchukua video, hayo ni mambo binafsi.
Bila vidole uwa hamjiskii tafuta uzi wa Money Stuna,tena anasisitiza ingiza vyote vi 5.hivi nyie mnaokandia chupi ya Nandi nyie mnavaaa zipi?? mnajua watanzania kwenye ishu za hivi kila mtu huonekana anacho kizuri zaidi. Mbona chupi yake nzuri tuu jamani. Hebu mkandieni tabia mbaya ya kujirekodi na kuwekewa madole ila CHUPI YAKE MUIACHE
Mimi nipo.Mkali wa slang ngumu upo?
[emoji15] [emoji15]Bila vidole uwa hamjiskii tafuta uzi wa Money Stuna,tena anasisitiza ingiza vyote vi 5.
BillAss billAss!Asalale....
Binti kivuruge na Chafu pozi hawataki mazoea ndani ya ligi ndogo...
Mm mwenyewe nimeshangaa baada ya kuiona hiyo chupi, ya kawaida tu aisee....alafu video yenyewe mmeikuza mno .hivi nyie mnaokandia chupi ya Nandi nyie mnavaaa zipi?? mnajua watanzania kwenye ishu za hivi kila mtu huonekana anacho kizuri zaidi. Mbona chupi yake nzuri tuu jamani. Hebu mkandieni tabia mbaya ya kujirekodi na kuwekewa madole ila CHUPI YAKE MUIACHE
Usi generalize ishu za kise*** si kila mtu anafanya huo uchafu kunukaBila vidole uwa hamjiskii tafuta uzi wa Money Stuna,tena anasisitiza ingiza vyote vi 5.
Dada taratibuUsi generalize ishu za kise*** si kila mtu anafanya huo uchafu kunuka
Kuomba radhi hakusaidii,kuiondoa Picha kwenye saver za mitandao wataona hadi wajukuu zake hii ndo chupi ya bibi yetu.nia ya wao kujirekodi ili sisi tuwaone huo ndio ukweli
Haya ila na yy kaja kwa speedDada taratibu
Ndo maana nakupendagaHaya ila na yy kaja kwa speed
Hahah hakyanani Nandy ndo baas tena....Sasa huyo nandy anamwambia mC pilipili kivuruge wakati yeye ndio kavurugwa kabisa,yeye ndio aliyerecord hiyo video akipigwa fingers na BillnASS.
Ndo ushasema hivoHuwa sipendi kusema neno kwenye jambo la kijinga
Halafu eti usiku wa Nandy na Aslay jamaa kavaa dela kisa kuonyesha heshima kwa wazazi. Iko wapi hiyo heshima.tena?Jamani kama wewe ni mtoto na bahati nzuri wazazi wako ni hai mjitahidi kutunza heshima zenu.na uaminifu .Watoto wanaumiza wazazi sana sana na sio mzazi wako tu mtu yeyote aliyezaa hategemei kuona uchafu huu kwa mtoto wake.Watoto mnaua wazazi.wenu acheni tabia za kichafu wazazi wengi siku hizi za karibu wanasumbuliwa na PRESSURE heart attack na wanakufa plz plz