Msanii Nandy aomba radhi baada ya video yake ya faragha akiwa na Billnass kusambaa mitandaoni. BASATA wamtetea

Msanii Nandy aomba radhi baada ya video yake ya faragha akiwa na Billnass kusambaa mitandaoni. BASATA wamtetea

Imagine nandy ni dada/mdogowako, uko zako kitaa masela wanakufowadia video jinsi nduguyo anavyochezewa
 
Faustina Charles " Nandy" umezingua kiukweli

Unasema video ya 2016 ila mnasikiliza audio ya sina jambo ya 2017..

Yale yale ya Hmisa na Mond
 
Huwa kila mara tunawashauri vijana na wadogo zetu waachane na mbwembwe za smartphone, kila kitu kujirekodi hawatuelewi matokeo yake ndio hayo, kwenye matukio ya haya kwa kiasi kikubwa waathirika wakubwa ni wanawake, huyu binti ana wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wote hawa lazima wameumizwa na jambo hili, kingine huyu binti atakuja kuwa mzazi huko mbeleni, ata zaa watoto, watoto watakuja kujifunza nini toka kwa mzazi wao wakiona clip na picha zake za hovyo? Wadogo zetu badilikeni vinginevyo teknolojia itawatesa sana nyie na vizazi vyenu wakati ujao.
 
Hayo ndo madhala ya kutembea na mvuta bangi
hapana aisee siwezi kuvumilia unapoitaja BANGI kwenye mambo yakijingajinga kama hayo! Bob mpaka anafariki uliwahi kuiona video yake ya ngono? katika picha kumi za Bob unaweza kuta moja tuu ndio havuti BANGI!
 
Wizara wamfungie, ili ajifunze wavuta bange sio watu wazuri
si kweli ila kuna wajingawajinga ndio huvuta BANGI na matokeo yake ndio hayo... lakini mvuta BANGI wa ukweli sifa yake kubwa ni heshima utulivu busara na kufikiri kabla ya kutenda!
 
Haya ndo matatizo ya kutembea na watoto wasiojitambua. Nandy kajipiga picha mwenyewe na kuwapelekea marafikize kuonyesha maujanja yake ambayo kwa kweli hajuwi chochote zaidi ya kukaa na kushangaa dushe jins lilivyo. Marafiki zake wamevujisha video anafikiria kujiua. Kachemsha ile mbaya na wanaume (potential husbands) wanaangalia tu na kumpotezea huyu mcheza sinema za X.
 
Hahahhaha hiyo chupi ya Nandy ndiyo chupi anatakiwa kuvaa mwanamke hiyo chupi inaitwa "chupi maadili/chupi kizalendo"au
So sad kwake alikuwa anataka kiki ya wimbo wake mpya lakini hakujua kama video hiyo itatumika....na nina hakika Shilole anajua chanzo cha video ile .
 
Kanumba alipata kumwambia binti Ezekiel "ngoma ikivuma ikavuma vuuu vuuu vuuu vuuu hupasuka"
 
Walikuwa wanatengeneza movie ya ngono labda

Ova
 
Huyu kama hakujiwekeza ktk kipindi chake alichovuma ajiandae kwenda kulima kwao cjui Arusha labda afanye kama yule anayezunguka mahotelini na kulakula hovyo kama nguruwe aliyekosa matunzo
 
Huyu Nandy anavyovaaga magauni yake ya zembwela matilio chilimeni nkadhani ndo anaishia hapo kumbe hadi machupi anavaa matoleo ya old school mscheeew
Wewe huvai chupi? Unavaa kimkanda? Hakikutekenyi?
 
hivi nyie mnaokandia chupi ya Nandi nyie mnavaaa zipi?? mnajua watanzania kwenye ishu za hivi kila mtu huonekana anacho kizuri zaidi. Mbona chupi yake nzuri tuu jamani. Hebu mkandieni tabia mbaya ya kujirekodi na kuwekewa madole ila CHUPI YAKE MUIACHE
 
Back
Top Bottom