rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Mmmh..!! Inategemea ni nani kafanyaa...Hakuna aibu ya miaka wala nn..Wiki mbili tu watu wameshasahu wanaendelea na shughuli zao..Wabongo wanaendeshwa na matukio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh..!! Inategemea ni nani kafanyaa...Hakuna aibu ya miaka wala nn..Wiki mbili tu watu wameshasahu wanaendelea na shughuli zao..Wabongo wanaendeshwa na matukio
Nengaa muongoo...Eti Bill Nacy anadai ameliaaa! Baada ya hiyo clip kuvuja. Jamani kuna watu wanafiki Dunia hii!
[emoji52][emoji52]Jambo halina shida...yeye ndo namuonea huruma!!
Haha kama kali inakuaje?Siku hizi sumu ya panya inajaribiwa kwa kulambwa?
Aibu kwa Nandy billnass hapo anajiona shababii kweli kweli na tena ataanza kupata calls za akina dada kwa sana tu. Ushaona wapi mwanaume anadhalilika kwa kugonga? anayedhalilika ni yule anayegongwa ahahahahaaHIVI KWANI NI WADADA TU WANADHALILIKA AU NI PAMOJA NA SISI MAKAKA PIA?
Yan mimi kuna ngoma yake ya "nikumbushe" sasa hivi siwezi kuisikia tena.. yaani kajishushia heshima zaidi ya anavyoweza kudhaniYani nandy hata me nlikuwa namheshimu sanaa na kumkubali ila hili daah.. Namuonea huruma kadhalilika sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Da mange kasema vidio imetupiwa na bashite ili kutusahaulisha maandamano [emoji23] [emoji23]
namaendeleo pia wanayo ao wcb tena makubwa ..WCB ndio wameanzisha yote haya mambo ya kiki.
Kushikana makalio na kutoa nyimbo kunahusian vipi. Hawa wasanii aaagh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku hizi sumu ya panya inajaribiwa kwa kulambwa?