Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Madee ni nani hata neno lake liwe sheria,mbona nash anaishi maisha mazuri zaidi kuwazidi wasanii wengi tu wa kuimba imba wa bongo flavaHuwa namuelewa sana Nash ila ndio kama alivyoimba Madee " Hiphop Hailipi. "
Vipi mbona unacheka wakati watu wapo kazini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Token kwenye chart
Kweli huwa hatumii kiingereza kwenye nyimbo zakeNash MC ana Kiswahili sanifu mno!
Kwa nini watu wengi mnalalamika kwamba jamaa ni mjuaji??Hip hope anayofanya Nash Mc imepitwa na wakati....yeye anapenda kujiona kama anaijuwa hip hope sana kumbe bado sana ....yaani Nyimbo zake zote hakuna nyimbo inayoweza kufikia nyimbo za 2pack kama dear Mama..... Namshauri nash Mc amtumikie Allah ...mziki awez tena
Anamuonea wivu nanihakuna kitu huyo! alafu sijuagi kwa nn wasanii wa aina hyo huwa wanakuwaga na wivu sana.
hana wimbo mzuri hata mmoja
Kweli huwa hatumii kiingereza kwenye nyimbo zake
Hip hope anayofanya Nash Mc imepitwa na wakati....yeye anapenda kujiona kama anaijuwa hip hope sana kumbe bado sana ....yaani Nyimbo zake zote hakuna nyimbo inayoweza kufikia nyimbo za 2pack kama dear Mama..... Namshauri nash Mc amtumikie Allah ...mziki awez tena
Type error 2pac"2pack"..Duuh!
Enzi zile hip hop ilikua kama dini lazma ufuate misingi yake lkn sio skuiz ipo kibiashara mwambie abadilike ata fid q skuiz anakata viunoKwa nini watu wengi mnalalamika kwamba jamaa ni mjuaji??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nitamwambia bwanaEnzi zile hip hop ilikua kama dini lazma ufuate misingi yake lkn sio skuiz ipo kibiashara mwambie abadilike ata fid q skuiz anakata viuno