Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
- Thread starter
- #21
Ndo mimi mkuu,biti gani unaielewa sanaMkuu zile beats za Duke hazitoki dunia hii...Ni za Duke wewe au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mimi mkuu,biti gani unaielewa sanaMkuu zile beats za Duke hazitoki dunia hii...Ni za Duke wewe au?
Ndo mimi mkuu,biti gani unaielewa sana
Kama kawaida tunapiga mule muleBeats ngumu sana,zote za moko,na wasanii wote wa Tamaduni...serious New York beats....very very smart beats!
Aibu sana
Ila juzi kulikuwa na mvua nilifika mitaa ileKINASA kila jumapili ya mwisho wa mwezi huwa sikosi uwanja wa shule ya madenge TEMEKE kuangalia show kaali
Nilikuwepo pia siku hiyoIla juzi kulikuwa na mvua nilifika mitaa ile
Hivi malle huwa anakuja paleNilikuwepo pia siku hiyo
Malle Marxist nilimuona show moja hadi stereo alikuwepo, sana sana undergrounds ndo wanajitokeza sana jukwaaniHivi malle huwa anakuja pale
Stereo amelegeza siku hiziMalle Marxist nilimuona show moja hadi stereo alikuwepo, sana sana undergrounds ndo wanajitokeza sana jukwaani
Anafanya mziki wa biashara, ila naona yupo busy na kazi ya bankStereo amelegeza siku hizi
Anafanya kazi bank????Anafanya mziki wa biashara, ila naona yupo busy na kazi ya bank
Yap nilisikia yupo Equity bankAnafanya kazi bank????
Hiv nash bado anakaa temekeAafu video yenyewe anafanyia maeneo ya nyumbani kwao. Maeneo hayo ndio maskani yao ilipo pande fulani za temeke mwembeyanga yanapopaki magari ya mabovu ya mizigo.
Hata stosh yupo bankYap nilisikia yupo Equity bank
Bado yupo ila amehama maeneo ya kata 14...huwa nakunywa nae kahawa kwenye kijiwe karibu na ilipokuwepo luxury pubHiv nash bado anakaa temeke
Yah daily napishana nae hayo maeneoHiv nash bado anakaa temeke
Yap nae yupo bankHata stosh yupo bank
Nash namkubali sana anavyojichanganya haswa mkiwa nae maskani pale madege uwanjani au kwenye kijiwe cha kahawa paleYah daily napishana nae hayo maeneo
Mhh palepale Madenge ndo maskani kwao na yupo kila siku pale kwa yule mama muuza uji wa mchele wakiwa pamoja na yule mchiz wa ze komedy ya EatvNash namkubali sana anavyojichanganya haswa mkiwa nae maskani pale madege uwanjani au kwenye kijiwe cha kahawa pale