Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Bila shaka huwa unanunua na kazi za Nash MC akitoaKINASA kila jumapili ya mwisho wa mwezi huwa sikosi uwanja wa shule ya madenge TEMEKE kuangalia show kaali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu ni kama anamkejeli hiviwew ni duke wa singeli nini mbna maswali haya unamvunjia heshima MAALIM?
Sina biashara yoyote mkuuUna biashara gani
Misimamo mingi sana huyu mwambaNash mc madina
Bei makubalianoNa kurecord huwa ni bei gani kaka mkubwa, yaani studio session
V.V.U (Vina Vikali Usipime)Emcee mwenye V.V.U!
-15 in the game n' you still kicking.
Long live Nash wa Mitihani.
-Kaveli-
ππππSidhani maana huwa anakichukia nadhani alifeli shule
V.V.U (Vina Vikali Usipime)