Msanii Nash MC kwanini hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa?

Ni nafuu hata huyo anayeuza Kwa WhatsApp kuliko hizo digital platforms.

Ili upate $1 unahitaji streams 318 kwenye Spotify, spotify inalipa vizuri zaidi ya boomplay

Chukulia umeuza albamu whatapp $1 Kwa watu 300 msanii atapata $300.

Kwenye digital platforms kuna kamishen inayochukuliwa na hizo platforms, sasa Kwa msanii kwenye base ndogo ni upotezaji WA muda na resources.

Si unakumbuka watanzania wengi hawapendi kulipia digital contents, si unakunbuka wasafi.com na mkito.com zilivyojifia

Ili kuzilinda KAZI zao, hao wanauza Kwa WhatsApp ni vizuri wakaungana na kuunda platform Yao wenyewe ambayo itakuwa inapost KAZI zao Tu.
 
Kama ni kweli unamkubali, Nunua Nakala kwa utaratibu ambao ameuchagua yeye kuwa ndio sahihi na utamshauri baada ya kusikiliza Mzigo wote.

Ushauri wako kwa Sasa itaonekana unamkubali ndio ila hutaki kutoa pesa upate kazi yake.
Nilishanunua kazi mara kibao tu mkuu
 
Ww ndo umeongea kitu cha maana, sikufahamu kama malipo yapo hivo.
 
Hivi akiuza whatsap kuna namna anaizuia ili usimtumie mtu mwengine? Au inakuwaje kulinda nyimbo zake zisi

Hivi akiuza whatsap kuna namna anaizuia ili usimtumie mtu mwengine? Au inakuwaje kulinda nyimbo zake zisiwafikie ambao hawajalipa
Yeah anazuia, lakini si kwa Whatsap. Mara nyingi anatumia email kuwatumia wateja wake copy, na huko ndipo anapolimit, yaani huwezi kuitoa ile copy na kumtumia mtu mwingine, labda uiunzip nyimbo mojamoja na kuzituma na sio wote ni waelewa. Mara nyingine anaweza kukutumia whatsap kama anakujua sana, au mmefanya biashara sana, hivyo anakuamini kuw ww huwezi kusambaza album kwa wengine. Mimi nimekuwa mdau wake sana wa kununua products zake kama nguo na vitu vingine ukiachana na Albums. Album ya Sam magoli na Welcome to Gamboshi alinitumia kwa email, sema safari hii email ilizingua ndio akanitumia whatsap.

N.B: Niki amesomea uhandisi wa computer, kwa hio hvyo vitu anaelewa sana.
 
Duh okay
 
Watu mna roho mbaya kwamba arudi chigugu.[emoji28]

#MaendeleoHayanaChama
 

Beats zake ni original ? Maana kuna wasanii wana sample na ku copy beats wakiweka kwenye platform kubwa zina reject sababu ya copyright .
 
"ungejua napotokea... Temekeeee!! heshima ungeniongezea.. eenhee"
Oy tununueni album bwana, me najichanga nikanunue
 
Huyu ni Nshomile aliyekulia Temeke huko.
 
Reactions: K11
Hiphop ya Tanzania ina urafiki wa karibu sana na UMASKINI. 2025 chama kitawapa nafasi hao tamaduni wapige pesa kwenye kampeni
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…