Hamna isipokua wengi mashabiki zake wanakua ni waaminifu hawatumi kwa mtu mwingineHivi akiuza whatsap kuna namna anaizuia ili usimtumie mtu mwengine? Au inakuwaje kulinda nyimbo zake zisiwafikie ambao hawajalipa
Uaminifu TanzaniaHamna isipokua wengi mashabiki zake wanakua ni waaminifu hawatumi kwa mtu mwingine
[emoji28][emoji28][emoji28]Uaminifu Tanzania
Nilishanunua kazi mara kibao tu mkuuKama ni kweli unamkubali, Nunua Nakala kwa utaratibu ambao ameuchagua yeye kuwa ndio sahihi na utamshauri baada ya kusikiliza Mzigo wote.
Ushauri wako kwa Sasa itaonekana unamkubali ndio ila hutaki kutoa pesa upate kazi yake.
Ww ndo umeongea kitu cha maana, sikufahamu kama malipo yapo hivo.Ni nafuu hata huyo anayeuza Kwa WhatsApp kuliko hizo digital platforms.
Ili upate $1 unahitaji streams 318 kwenye Spotify, spotify inalipa vizuri zaidi ya boomplay
Chukulia umeuza albamu whatapp $1 Kwa watu 300 msanii atapata $300.
Kwenye digital platforms kuna kamishen inayochukuliwa na hizo platforms, sasa Kwa msanii kwenye base ndogo ni upotezaji WA muda na resources.
Si unakumbuka watanzania wengi hawapendi kulipia digital contents, si unakunbuka wasafi.com na mkito.com zilivyojifia
Ili kuzilinda KAZI zao, hao wanauza Kwa WhatsApp ni vizuri wakaungana na kuunda platform Yao wenyewe ambayo itakuwa inapost KAZI zao Tu.
Hivi akiuza whatsap kuna namna anaizuia ili usimtumie mtu mwengine? Au inakuwaje kulinda nyimbo zake zisi
Yeah anazuia, lakini si kwa Whatsap. Mara nyingi anatumia email kuwatumia wateja wake copy, na huko ndipo anapolimit, yaani huwezi kuitoa ile copy na kumtumia mtu mwingine, labda uiunzip nyimbo mojamoja na kuzituma na sio wote ni waelewa. Mara nyingine anaweza kukutumia whatsap kama anakujua sana, au mmefanya biashara sana, hivyo anakuamini kuw ww huwezi kusambaza album kwa wengine. Mimi nimekuwa mdau wake sana wa kununua products zake kama nguo na vitu vingine ukiachana na Albums. Album ya Sam magoli na Welcome to Gamboshi alinitumia kwa email, sema safari hii email ilizingua ndio akanitumia whatsap.Hivi akiuza whatsap kuna namna anaizuia ili usimtumie mtu mwengine? Au inakuwaje kulinda nyimbo zake zisiwafikie ambao hawajalipa
Duh okayYeah anazuia, lakini si kwa Whatsap. Mara nyingi anatumia email kuwatumia wateja wake copy, na huko ndipo anapolimit, yaani huwezi kuitoa ile copy na kumtumia mtu mwingine, labda uiunzip nyimbo mojamoja na kuzituma na sio wote ni waelewa. Mara nyingine anaweza kukutumia whatsap kama anakujua sana, au mmefanya biashara sana, hivyo anakuamini kuw ww huwezi kusambaza album kwa wengine. Mimi nimekuwa mdau wake sana wa kununua products zake kama nguo na vitu vingine ukiachana na Albums. Album ya Sam magoli na Welcome to Gamboshi alinitumia kwa email, sema safari hii email ilizingua ndio akanitumia whatsap.
N.B: Niki amesomea uhandisi wa computer, kwa hio hvyo vitu anaelewa sana.
Watu mna roho mbaya kwamba arudi chigugu.[emoji28]Huyu bwana sidhani kama anapata hela ya kufanyia kazi zake za sanaa kwenye muziki ila nadhani ana njia zake nyingine za kumpa mkate wa kila siku.
Sijawahi sikia akifanya show au akiuza kazi zake kwa njia za kisasa.
Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika
ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.
Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.
Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.
Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!
Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.
NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
Huyu ni Nshomile aliyekulia Temeke huko.Huyu bwana sidhani kama anapata hela ya kufanyia kazi zake za sanaa kwenye muziki ila nadhani ana njia zake nyingine za kumpa mkate wa kila siku.
Sijawahi sikia akifanya show au akiuza kazi zake kwa njia za kisasa.
Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika
Anaitwa Jason Mutalemwa Theobald.. Huyo sio mtu wa Masasi ila anafagilia tamaduni za kusini na pwani..Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika
NimekupataAnaitwa Jason Mutalemwa Theobald.. Huyo sio mtu wa Masasi ila anafagilia tamaduni za kusini na pwani..
Huyu bwana sidhani kama anapata hela ya kufanyia kazi zake za sanaa kwenye muziki ila nadhani ana njia zake nyingine za kumpa mkate wa kila siku.
Sijawahi sikia akifanya show au akiuza kazi zake kwa njia za kisasa.
Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika