Msanii Nash MC kwanini hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa?

Msanii Nash MC kwanini hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa?

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,971
Reaction score
4,085
Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.

Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.

Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!

Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.

NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
 
Maalim Nash[emoji3578][emoji3578][emoji3578]
Screenshot_20221202_184902.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bwana sidhani kama anapata hela ya kufanyia kazi zake za sanaa kwenye muziki ila nadhani ana njia zake nyingine za kumpa mkate wa kila siku.

Sijawahi sikia akifanya show au akiuza kazi zake kwa njia za kisasa.

Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika
 
Huyu bwana sidhani kama anapata hela ya kufanyia kazi zake za sanaa kwenye muziki ila nadhani ana njia zake nyingine za kumpa mkate wa kila siku.

Sijawahi sikia akifanya show au akiuza kazi zake kwa njia za kisasa.

Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika
Unamjua Immortal technique?
 
Huyu bwana sidhani kama anapata hela ya kufanyia kazi zake za sanaa kwenye muziki ila nadhani ana njia zake nyingine za kumpa mkate wa kila siku.

Sijawahi sikia akifanya show au akiuza kazi zake kwa njia za kisasa.

Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika
Kazi zake anauza whasap
 
Huyu bwana sidhani kama anapata hela ya kufanyia kazi zake za sanaa kwenye muziki ila nadhani ana njia zake nyingine za kumpa mkate wa kila siku.

Sijawahi sikia akifanya show au akiuza kazi zake kwa njia za kisasa.

Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika
Anapiga Show zake nje hivi hapa kati alikua na Show Marekani ila za kwake sio za promotion km za wasanii wenu wa kupaka mate na kuingiza nyoka pangoni harakati zake anazipiga kimya kimya
 
Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.

Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.

Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!

Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.

NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
Wasanii wa HipHop kibongo bongo ni wabishi kwelikweli. Yaani unapoleta mambo za kumshauri afanye kitu kulingana na wakati unatakaje, anaona kama unamtoa kwenye reli na hivyo anakujibu kuonesha kuwa anachokifanya ndicho sahihi - JIWE type.

Mwaka 2015 niliwahi mwambia Nikki Mbishi aka Zohan kubadili muundo wa muziki wake na kuufanya kibiashara akaleta majibu kama hizo kuwa anafanya kwa wanaopenda na sio kwa wote. Ajabu, role model wao unakuta ni Dr. Dre ambaye sasa anafanya nyimbo za kuendana na wakati ila wao hawataki, wanakomaa na 'misingi', sishangai Nash Mc kukataa kuuza album kisasa, ni utaratibu wao 'ku-keep it real.'
 

Attachments

  • Screenshot_2022-12-02-19-13-47-848_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2022-12-02-19-13-47-848_com.twitter.android.jpg
    113.5 KB · Views: 24
  • Screenshot_2022-12-02-19-14-02-921_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2022-12-02-19-14-02-921_com.twitter.android.jpg
    101.9 KB · Views: 26
Anapiga Show zake nje hivi hapa kati alikua na Show Marekani ila za kwake sio za promotion km za wasanii wenu wa kupaka mate na kuingiza nyoka pangoni harakati zake anazipiga kimya kimya
Show gani ya kimyakimya ambayo atapata watu?, biashara ni matangazo.
Zuchu alipata sijui watu 6 huku amefanya promo sasa huyo wa bila promo anapata wangapi huko kwenye shows zake ughaibuni?
 
Kuna mwamb humu alisema jamaa anapiga hela ndefu sana kuliko hao wasanii wanaouza kidigitali.

Ukimbishia anakwambia hujui mziki!!
Labda sio hela itokanayo na muziki lakini hela ya muziki haijifichi maana takwimu ziko wazi.
 
Show gani ya kimyakimya ambayo atapata watu?, biashara ni matangazo.
Zuchu alipata sijui watu 6 huku amefanya promo sasa huyo wa bila promo anapata wangapi huko kwenye shows zake ughaibuni?
Ana watu wake anaowauzia album na ana watu wake anaowafanyia Show, huwezi kumuelewa Nash hata siku moja km humfuatilii vizuri, alafu usisahau Nash sio Zuchu anaepakwa mate watu wanaingiza nyoka Pangoni
 
Siyo Nash tu, hata Niki Mbishi pia anauza nyimbo zake whatsap. Mimi simshangai hapo, kwani ameona ndio njia inayofaa na inampatia kipato kzuri.
Ninazungumza na Niki, na juzi nimennua Album ya kigu. Ukimuuliza Niki anakwambia kuuza direct mwenyewe anaona inamlipa na inamuongezea mashabk kla siku.
 

Attachments

  • Screenshot_20221202_194314.jpg
    Screenshot_20221202_194314.jpg
    117.2 KB · Views: 19
Back
Top Bottom