Msanii Nay wa Mitego ahojiwa na Polisi na kufunguliwa kesi ya Uchochezi

Msanii Nay wa Mitego ahojiwa na Polisi na kufunguliwa kesi ya Uchochezi

Kwa sasa anaweza kwenda Ubalozi wa Marekani au Kanada kuomba kuwa Mkimbizi na akakubaliwa.
Ni fulsa kwake kufaidika na hadhi ya ukimbizi ambayo ina mshahara mnono kila mwezi.

Mwenzake Roma anakula maisha America.
 
Mwandishi George Orwell katika kitabu chake cha 1984 ananukuliwa kuhusu kuwepo wizara ya Ukweli:

Wizara ya kweli ilikuwa nini katika 1984?

Jukumu katika habari

Wizara ya Ukweli inajihusisha na vyombo vya habari, burudani, sanaa nzuri na vitabu vya elimu. Madhumuni yake ni kuandika upya historia ili kubadilisha ukweli ili kuendana na mafundisho ya Chama kwa ajili ya kupandikiza propaganda vichwani mwa raia ..

Kesi ya mwimbaji Sifa Boniventure Bujune (25) mkazi wa Isyesye, Mbeya Tanzania

Wakili asema sasa ni wajibu wa mwendesha mashitaka kuja na ukweli

View: https://m.youtube.com/watch?v=IqEDNGKsRxQ
 
Back
Top Bottom