Msanii "Pasha" kwa sasa yuko wapi?

Msanii "Pasha" kwa sasa yuko wapi?

Industry ya muziki ni ngumu sana kumaintain ndio maana watu wengi ambao walikua na vipaji halisi walipotea na wengi ambao wapo ni wale ambao wako kwenye strong management kidogo au wameonekana hawana madhara au wanafuata kile ambacho mfumo unahitaji wakifuate na wengine wapo ili mzani uweze kubalance kwa maana asili ya muziki ni kushindana... Indirect Monopolism iko applicable sana kwenye muziki.

Nakumbuka huyo jamaa wakati anatoka walitoka wasanii wengi sana kama kina matonya, kina Z Anthony, kina Jay I na kina Alikiba walitoka nyakati hizo nadhani, hata malow nae ni generation hiyo kama sikosei, kina spark, kina mb dog na kadhalika.

Yaani ilikua huku ukiskia si vibaya kumpenda mtoto hidaya, unakaa kidogo unaskia vailet, mara kidato kimoja, hujakaa sawa bembeleza hii hapa, mara paap kidato kimoja, huku na huku sinderela hii hapa, mara shwaaaaa mpenzi kiziwi huyu hapa, hujatulia vizuri inamana hii hapa ya mb dog...
That was golden age kwenye bongo fleva, sikuhz sijui hata haws madogo wanaimba nn
 
Industry ya muziki ni ngumu sana kumaintain ndio maana watu wengi ambao walikua na vipaji halisi walipotea na wengi ambao wapo ni wale ambao wako kwenye strong management kidogo au wameonekana hawana madhara au wanafuata kile ambacho mfumo unahitaji wakifuate na wengine wapo ili mzani uweze kubalance kwa maana asili ya muziki ni kushindana... Indirect Monopolism iko applicable sana kwenye muziki.

Nakumbuka huyo jamaa wakati anatoka walitoka wasanii wengi sana kama kina matonya, kina Z Anthony, kina Jay I na kina Alikiba walitoka nyakati hizo nadhani, hata malow nae ni generation hiyo kama sikosei, kina spark, kina mb dog na kadhalika.

Yaani ilikua huku ukiskia si vibaya kumpenda mtoto hidaya, unakaa kidogo unaskia vailet, mara kidato kimoja, hujakaa sawa bembeleza hii hapa, mara paap kidato kimoja, huku na huku sinderela hii hapa, mara shwaaaaa mpenzi kiziwi huyu hapa, hujatulia vizuri inamana hii hapa ya mb dog...
haujakaa sawa mara shwaa
 
Kwenye namuimbia kuna mistari ambayo ina hisia sana..
"Eti wanasema nisikutafute thamani ya kitu ajuaye mwenye chake acha chozi linidondoke"
 
Daah yan nimeona tu jina Pasha. Imebidi niingie kusikiliza ngoma zake aseeeh jamaa walitubless na mangoma mazuri sana.
 
Doh umenikumbusha Dulayo...alikuwa na ngoma kali..
Pia kulikuwa na:
1. Buibui
2. Vumilia (utanikumbuka)
3. Ytony (masebene)
Dah,huo wimbo wa Vumi...basi tu,acha tu...aisee umenikumbusha mbali,moyo umeshtuka sana.umenikumbusha kipindi kigumu nilipotia huo wimbo ilikua Kila muda nasikiliza.
Mapenzi haya yanajua kuumiza, niliingia mkataba na moyo wangu kuwa siji uletea maumivu Tena mpaka naenda futi sita.
 
Back
Top Bottom