VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Hamonaizi mrudishe kaka yako Pasha kwenye gemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi muziki si mchezoMziki wa bongo ni MUZIKI
That was golden age kwenye bongo fleva, sikuhz sijui hata haws madogo wanaimba nnIndustry ya muziki ni ngumu sana kumaintain ndio maana watu wengi ambao walikua na vipaji halisi walipotea na wengi ambao wapo ni wale ambao wako kwenye strong management kidogo au wameonekana hawana madhara au wanafuata kile ambacho mfumo unahitaji wakifuate na wengine wapo ili mzani uweze kubalance kwa maana asili ya muziki ni kushindana... Indirect Monopolism iko applicable sana kwenye muziki.
Nakumbuka huyo jamaa wakati anatoka walitoka wasanii wengi sana kama kina matonya, kina Z Anthony, kina Jay I na kina Alikiba walitoka nyakati hizo nadhani, hata malow nae ni generation hiyo kama sikosei, kina spark, kina mb dog na kadhalika.
Yaani ilikua huku ukiskia si vibaya kumpenda mtoto hidaya, unakaa kidogo unaskia vailet, mara kidato kimoja, hujakaa sawa bembeleza hii hapa, mara paap kidato kimoja, huku na huku sinderela hii hapa, mara shwaaaaa mpenzi kiziwi huyu hapa, hujatulia vizuri inamana hii hapa ya mb dog...
haujakaa sawa mara shwaaIndustry ya muziki ni ngumu sana kumaintain ndio maana watu wengi ambao walikua na vipaji halisi walipotea na wengi ambao wapo ni wale ambao wako kwenye strong management kidogo au wameonekana hawana madhara au wanafuata kile ambacho mfumo unahitaji wakifuate na wengine wapo ili mzani uweze kubalance kwa maana asili ya muziki ni kushindana... Indirect Monopolism iko applicable sana kwenye muziki.
Nakumbuka huyo jamaa wakati anatoka walitoka wasanii wengi sana kama kina matonya, kina Z Anthony, kina Jay I na kina Alikiba walitoka nyakati hizo nadhani, hata malow nae ni generation hiyo kama sikosei, kina spark, kina mb dog na kadhalika.
Yaani ilikua huku ukiskia si vibaya kumpenda mtoto hidaya, unakaa kidogo unaskia vailet, mara kidato kimoja, hujakaa sawa bembeleza hii hapa, mara paap kidato kimoja, huku na huku sinderela hii hapa, mara shwaaaaa mpenzi kiziwi huyu hapa, hujatulia vizuri inamana hii hapa ya mb dog...
Hiyo mistari naipenda hadi leo, aliandika na kuimba kwa hisia sana."Hivi ni nani unavyodhani, anayejua thamani ya penzi lako..
Zunguka kote duniani, hautapata anayejua thamani yako.."
Kizazi Cha Sicheki Na Wowote Hakiwezi Kuelewa Hizi Mambo.
Ni kweli, nyimbo za hisia zinaishi sana.Hiyo mistari naipenda hadi leo, aliandika na kuimba kwa hisia sana.
Wanakwambia wanaenda na upepo eti 😅😅That was golden age kwenye bongo fleva, sikuhz sijui hata haws madogo wanaimba nn
Hakukuwa na mwengine..??🤣HB wa enzi zetu...
Yupo Liwale sehemu gani hata nikamsabahiNilikua pande hizo za Liwale,nikaonyeshwa jamaa anauza mitumba tu siku hizi,sijajua kama hiyo mitumba ni yake au anapiga deiwaka tu.
Doh umenikumbusha Dulayo...alikuwa na ngoma kali..1. Mb Dog (Inamana, Mapenzi kitu gani, Sagaplasha)
2. Pasha (Ni soo, Hidaya)
3. Dulayo (Naumia roho)
Muziki unaishi#
"Hivi ni nani unavyodhani, anayejua thamani ya penzi lako..
Zunguka kote duniani, hautapata anayejua thamani yako.."
Kizazi Cha Sicheki Na Wowote Hakiwezi Kuelewa Hizi Mambo.
Hakika waliachia vitu vya hatari sana..Daah yan nimeona tu jina Pasha. Imebidi niingie kusikiliza ngoma zake aseeeh jamaa walitubless na mangoma mazuri sana.
Dah,huo wimbo wa Vumi...basi tu,acha tu...aisee umenikumbusha mbali,moyo umeshtuka sana.umenikumbusha kipindi kigumu nilipotia huo wimbo ilikua Kila muda nasikiliza.Doh umenikumbusha Dulayo...alikuwa na ngoma kali..
Pia kulikuwa na:
1. Buibui
2. Vumilia (utanikumbuka)
3. Ytony (masebene)
Hakika walitupa burudani..ilikuwa ni bongo fleva kweli enzi hizo
Unaiachaje Latifa..huu ndio ulikuwa wimbo wa Taifa1. Mb Dog (Inamana, Mapenzi kitu gani, Sagaplasha)
2. Pasha (Ni soo, Hidaya)
3. Dulayo (Naumia roho)
Muziki unaishi#