Msanii "Pasha" kwa sasa yuko wapi?

Msanii "Pasha" kwa sasa yuko wapi?

Miaka ya 2006 -2014 bongo fleva ilikua fire sana
 
Walikuwa wanaitwa 2 berry kabla hawajasambaratika (berry white &black) producer alikuwa Shirko (kama kumbukumbu zangu zipo sawa huyu alikuwa mkenya)
Eh producer wao alikua Shirko yani kipindi hiko waZanzibar wanakimbiza kila wimbo wa Zanzibar alikua anawagongea alikua ana beat flani hivi kama ile ya kidato kimoja
Ningeomba unixalie kitoto cha kiume tukiite "MB Dog"

Pamoja sana
Hahahaha
Kundi Lao lilikuja vunjika. Berry Whitenand Berry Black, walitisha sana enzi zao

Come to think about it, wazanzibar kweli kweli mwanaume unajiitqje Berry🤣
Si tulikua tunaona fresh tu😅😅
 
to be honest jamaa kutoka mtwara wako so talented kwa upande wa music the likes of pasha, z-anto, harmonize, na wengine niliowasahau
 
anaenifanya me nikose raha, ndiye ninae muimbia...
na kama basi unanisikia, mpenzi sogea...

mzee wa kutinda nyusi Mpasha /Pasha
 
anaenifanya me nikose raha, ndiye ninae muimbia...
na kama basi unanisikia, mpenzi sogea...

mzee wa kutinda nyusi Mpasha /Pasha
Verse ya mwisho baada ya jamaa kurap aliingia vizuri sana mixer beat inapigwa kikatili sana na vinanda vya maana sana vikilizwa unasikia akiimba "watu wanasema nisikufuate tena ikibidi nisikukumbuke thamani ya kitu ajuaye mwenye chake acha chozi linidondoke"
 
Verse ya mwisho baada ya jamaa kurap aliingia vizuri sana mixer beat inapigwa kikatili sana na vinanda vya maana sana vikilizwa unasikia akiimba "watu wanasema nisikufuate tena ikibidi nisikukumbuke thamani ya kitu ajuaye mwenye chake acha chozi linidondoke"
yule mwana alichana ile vers kibabe sana
 
Miaka ya 2006 -2014 bongo fleva ilikua fire sana
Fanya tu kuanzia 2000-2010, hiyo miaka 10 vilitoka vitu vya moto kweli kweli kabla ya wanaijeria kuja kutuharibia muziki wetu pale vijana walipoamua kuimba matusi matusi kwa kigezo cha muziki biashara.
 
Fanya tu kuanzia 2000-2010, hiyo miaka 10 vilitoka vitu vya moto kweli kweli kabla ya wanaijeria kuja kutuharibia muziki wetu pale vijana walipoamua kuimba matusi matusi kwa kigezo cha muziki biashara.
Hakika vilipigwa vitu na producers walikua na akili nyingi sana..
Ukisikiliza ngoma ya Enika baridi kama hii utasikia mdundo wa Roy beat iligongwa kitaalamu sana..
 
Back
Top Bottom