Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Akili na mitizamo hubadilika. Sauli siyo Paulo, ingawa mwili ni ule ule!!Nimeuliza swali tu mkuu. Mwana CCM wa leo anaweza kesho akawa ni miongoni mwa hao jamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili na mitizamo hubadilika. Sauli siyo Paulo, ingawa mwili ni ule ule!!Nimeuliza swali tu mkuu. Mwana CCM wa leo anaweza kesho akawa ni miongoni mwa hao jamaa.
Kama unaamini huyo teja mbobezi ana akili kuliko wana CCM, basi mkuu inabidi umtafute daktari wa akili ukae nae ndani ya ofisi yake hata kwa robo saa, anaweza kugundua tatizo ambalo likitibiwa utakuwa mtu muhimu sana duniani.Akili na mitizamo hubadilika. Sauli siyo Paulo, ingawa mwili ni ule ule!!
Siangalii uteja wake bali naangalia alichokisema. Profesa Shaba (RIP) alikuwa anakunywa pombe sana, lakini haikumuondolea sifa yake ya kuwa mbobezi kwenye anga za mambo ya "Pathology".Kama unaamini huyo teja mbobezi ana akili kuliko wana CCM,
Angalao hatuli nganda kwa pesa za kodi ya wananchi.Wala ngada lazima wateteane halafu wanaona dunia wanayo mkononi kama pipi vile. Chadema na Ngada hakuna tofauti
Alichosema hakimaanishi kuwa na akili kulo wana CCM wote, labda lengo la uzi wako liwe ni kuwadharau hata usiowajuaSiangalii uteja wake bali naangalia alichokisema. Profesa Shaba (RIP) alikuwa anakunywa pombe sana, lakini haikumuondolea sifa yake ya kuwa mbobezi kwenye anga za mambo ya "Pathology".
Alichosema hakimaanishi kuwa na akili kulo wana CCM wote, labda lengo la uzi wako liwe ni kuwadharau hata usiowajua
Unatenda kosa lingine tena, unamlinganisha Profesa Shaba aliyelala na mwili wa Marehemu Sokoine pale Karimjee kwa siku mbili na huyo teja mwanamuziki.
Mkuu Kilewella anatoa kali ya mwaka. Anamlinganisha Prof Shaba ambaye kwa kipindi kirefu cha uhai wa nchi yetu alikuwa ndio pathologist (daktari mgunduzi wa chanzo cha kifo) pekee pale Muhimbili na huyo Chid Benz ambaye unga ulitaka kumuua.
yukwap huyu prof cku hz mkuuMkuu Kilewella anatoa kali ya mwaka. Anamlinganisha Prof Shaba ambaye kwa kipindi kirefu cha uhai wa nchi yetu alikuwa ndio pathologist (daktari mgunduzi wa chanzo cha kifo) pekee pale Muhimbili na huyo Chid Benz ambaye unga ulitaka kumuua.
Nakumbuka pale ocean road kule chini kwenye mchanga wa pembeni ya bahari miaka ya 90 kuna kibaka mmoja alitaka kumpora mbegi mtalii wa kizungu akiwa na mchumba wake, yule mzungu wakati kibaka akikimbia na begi akachomoa pisto akamuua halafu akachukua begi lake na kuendelea na matembezi.
Baada ya masaa matatu profesa Shaba akaitwa na watu ili autazame mwili, kuugeuza akasema huyu mtu kauwawa masaa manne yaliyopita, na ni kweli jamaa aliuliwa saa saba mchana kwa mujibu wa waliofika mapema katika eneo la tukio.
Enzi hizo Prof alikuwa na heshima kubwa sana hapa TZ.
Anaishi Marekani, mwaka jana alifiwa na Mkewe. Alikuwa anaishi maeneo ya karibu na hospital ya ocean road, pale ambapo sasa hivi pamejengwa lile ghorofa refu ambalo ukiwa unatokea baharini kuja kwenye ile round about lipo upande wako wa kulia.
Anaishi Marekani, mwaka jana alifiwa na Mkewe. Alikuwa anaishi maeneo ya karibu na hospital ya ocean road, pale ambapo sasa hivi pamejengwa lile ghorofa refu ambalo ukiwa unatokea baharini kuja kwenye ile round about lipo upande wako wa kulia.
Pale palikuwa na nyumba za wafanyakazi wa serikali.
Ukimsikilizia kweye maelezo yake hayo utagundua anachoongea huyu jamaa ni "akili kubwa sana" kuliko ushabiki wa wana CCM milioni tatu!
wenzake huwa wanavuta tu bhangi ila yeye anakula kabisa. yaani bhangi hizo unafananisha na akili za wanazuoni wakubwa waliopo ccm kama prof. muhongo, prof. ndalichako, prof. mbarawa...na wengineo wenye majina makubwa na mchango mkubwa wa kitaalamu duniani. akili kama hizo zipo chadema tu, ccm hatuna huo ujinga
Hoja za Chid umezisikia lakini?Hata Wema Sepetu wakati anajiunga Chadema pia mlisema ana akili sana ila alipondoka Chadema sifa ya akili ikatoweka
Ukimsikilizia kweye maelezo yake hayo utagundua anachoongea huyu jamaa ni "akili kubwa sana" kuliko ushabiki wa wana CCM milioni tatu!
Vipi Prof. Safari na Baregu!Hao maprof uliowataja kichwani hawana akili, wamejaza uharo tu, chidi ameonesha akili kubwa kuliko hayo mazombi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona uko bize kwenye kila "thread". Ndiyo umeingia "shift" nini?Vipi Prof. Safari na Baregu!
Vipi Prof. Safari na Baregu!
Wanazuoni wenyewe ndio hawa wakina USSR, Bashite, Jingalao, Stroke, Msaga Sumu na Ndege John?wenzake huwa wanavuta tu bhangi ila yeye anakula kabisa. yaani bhangi hizo unafananisha na akili za wanazuoni wakubwa waliopo ccm kama prof. muhongo, prof. ndalichako, prof. mbarawa...na wengineo wenye majina makubwa na mchango mkubwa wa kitaalamu duniani. akili kama hizo zipo chadema tu, ccm hatuna huo ujinga
Wala ngada lazima wateteane halafu wanaona dunia wanayo mkononi kama pipi vile. Chadema na Ngada hakuna tofauti