Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Kuna dalili zote kuwa unabii wa ChidBenz umeanza kutimia.

Alimuambia Makonda badala ya kuwekeza fedha kwa wasanii, jenga magereza kwa kuwa na wewe waweza kuwa mfungwa siku moja
Atatangulia mbowe kwanza huko gerezani
 
Mpuuzi huyu mara ngapi kakutwa na kesi za madawa ya kulevya? Eti boresha magereza ndio eneo ameona la maanaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbowe amekwishaingia Gerezani mara 2, kwa hiyo hakuna kipya kwa Mbowe.

Mwambie tu Makonda, ule msambwanda utamfanya aishi maisha powa Gerezani asiogope
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Aisee ...
3yrs later...

S03EP01
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…