Huyu jamaa kwa hayo aliyoyasema basi asubiri kesi ya kubambikiwa!Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Taifa liko kwenye majonzi ya punda kugongwa na gari kuharibika.nasikia mbowe kashamtayarishia tundu lisu selo ya kukaa segerea siku akirudi bongo
Kukosea sio lazimaAisee kwamba wao hawawezi kukosea maishani?
Jr[emoji769]
Makamanda bana...hapo angemsifia Makonda matusi yake yasingekuwa ya dunia hiiSikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la msingi ni je kasema ukweli au la?Dua la kuku hilo kwa mwewe, muulizeni kwanza madawa kaacha?
Hajampinga magufuli. Kamuelekeza makonda asibase na mambo ya wasanii na michezo afanye mambo yenye tija kama kuboresha magereza maana anaweza kwenda yeye na hata magufuli. Unasema hiyo sio point kweliYani Child kusema ivo ndio eti ana akili sana, Yani upinzani hamna cha kujitetea kabisa kila anaempinga magufuli kwenu ni bora sana hata kama hana logic yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app