OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hivi kumtukana rais ina maana gani,maana sijaona Chid akitukana. Au kusema jiwe anaweza kwenda jela ni matusiHivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunakuuliza wapi Chid amemtukana raisUsitafsr neno moja ndg soma maneno yote upate dots!!!! Ww unamuunga mkono kisa kmzungumzia makonda!! Ingekuwa kinyume hapo tusingesikia kelele hizi
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Hivi hali ya punda hadi sasa inaendeleaje?Taifa liko kwenye majonzi ya punda kugongwa na gari kuharibika.
Na watasema siyo mzalendo kabisasasa hivi wanaanza kusema chidi anatumiwa na mabeberuπππππ
Naomba angalau mfano mmoja wa neno au maneno unayo ona kwamba ni matusiHivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wale viongozi wa dini walishindwa kulikemea hili?Sauti ya Chid inaweza kuwa Sauti ya Mungu, kuliko sauti ya mchumia tumbo bwanamdogo Kakobe.
Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa[/QUOTE kweli malipo ni hapahapa duniani
NaamUkiona wale ambao jamii inawaona hawafai wanatoa ushauri wa mtindo huu inabidi kujitafakari Mara mbili mbili.Mungu huwa analeta maonyo yake kupitia watu ambao wamedharaulika.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ€πππ€πͺasbh saaaana yaanDuuuh uhamiaji, tume ya kupambana na dawa za kulevya MAPEMA TU.
sasa hivi wanaanza kusema chidi anatumiwa na mabeberuπππππ
Mnaweza kumfunga Dr Lisu kwa mabavu tu ila sio kwa vifungu vya sheria.
Braza huwa anaongea huku anafikiri, ni maneno gani akiongea yatamfunga kisheria na maneno gani akiongea hayatamfunga kisheria.
Hapo mmekwama
Mbugila we
Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ombi Maalum : Chid Benz aongezewe ulinzi .
Ukiona wale ambao jamii inawaona hawafai wanatoa ushauri wa mtindo huu inabidi kujitafakari Mara mbili mbili.Mungu huwa analeta maonyo yake kupitia watu ambao wamedharaulika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamsalimie Mbowe wewe acha kelele huku JF. Leo ni siku ya kuona mahabusu na wafungwa Segerea!Ni swala la muda tu kabla maneno hayo hatajatimia.
Wanaona raha kuweka wapinzani ndani ila hawajui kuwa kuna siku na wao wataingia humo.