Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??

Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumtukana rais ina maana gani,maana sijaona Chid akitukana. Au kusema jiwe anaweza kwenda jela ni matusi
 


Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.

Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.

Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.

Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa[/QUOTE kweli malipo ni hapahapa duniani
 
Mnaweza kumfunga Dr Lisu kwa mabavu tu ila sio kwa vifungu vya sheria.
Braza huwa anaongea huku anafikiri, ni maneno gani akiongea yatamfunga kisheria na maneno gani akiongea hayatamfunga kisheria.

Hapo mmekwama

Mbugila we

😂😂😂😂nimependa neno lako la mwisho😂😂😂mbugila
 
Ni swala la muda tu kabla maneno hayo hatajatimia.

Wanaona raha kuweka wapinzani ndani ila hawajui kuwa kuna siku na wao wataingia humo.
Kamsalimie Mbowe wewe acha kelele huku JF. Leo ni siku ya kuona mahabusu na wafungwa Segerea!
 
Mungu anapotaka kutoa unabii kwa jambo fulani huwa anawatumia watu wanyonge ambao si rahisi kuwaamini mpaka maneno yao yatakapotimia (kumbuka kwa Yesu Kristo,nabii Mussa na wengineo)
Hapa Mungu ameamua kutoa maneno ya kinabii kupitia kwa Chid Mabenz,hakika siyo leo wala kesho ipo siku huu unabii utatimia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu anapotaka kutoa unabii kwa jambo fulani huwa anawatumia watu wanyonge ambao si rahisi kuwaamini mpaka maneno yao yatakapotimia (kumbuka kwa Yesu Kristo,nabii Mussa na wengineo)
Hapa Mungu ameamua kutoa maneno ya kinabii kupitia kwa Chid Mabenz,hakika siyo leo wala kesho ipo siku huu unabii utatimia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom