Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ccm ya awamu ya 5 haijawahi kuwa na aibu yoyote , wala usishangae huyu dogo kupewa kesi ya kutakatisha pesaMnakosea sasa mnapotisha watu hata kama mnasema kwa nia nzuri au kwa kutania....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm ya awamu ya 5 haijawahi kuwa na aibu yoyote , wala usishangae huyu dogo kupewa kesi ya kutakatisha pesaMnakosea sasa mnapotisha watu hata kama mnasema kwa nia nzuri au kwa kutania....
ccm ya awamu ya 5 haijawahi kuwa na aibu yoyote , wala usishangae huyu dogo kupewa kesi ya kutakatisha pesa
Choko Bashite ana kinga gani..lisenge limetuharibia Yanga yetu tunafungwa kisengerema..akija hata wa CCM mwingine litaenda kunyea ndoo..lilitaka $100,000 kwa Manji akalitosa ndio yote yaliyotokeaDua la kuku hilo kwa mwewe, muulizeni kwanza madawa kaacha?
Vyeti vipi mkuu?Sasa Makonda aende segerea kwa kosa lipi? Magufuli aende segerea kwa katiba ipi? hahahaha leo chid benz kawa kipenzi cha chadema
Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Lucas philipoHivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimeuliza tu ila chid benz hakuwa na hoja kwa sababu mambo aliyozungumzia ni mambo ambayo mkuu wa mkoa pia ni lazima ayafanye kwa sababu ni moja ya makundi yanayo patikana katika jamii ni kama vile angefanya katika kundi la walemavu nkhoja zijibiwe kwa hoja, bila kujali nani kasema
Unaulizaje kwa kuja na hoja ya kumkamata kwa kumvizia mtu ambae hata wewe usipofikiri kwa kutumia tumbo unaona kabisa alichoongea kina mantikiMi nimeuliza tu ila chid benz hakuwa na hoja kwa sababu mambo aliyozungumzia ni mambo ambayo mkuu wa mkoa pia ni lazima ayafanye kwa sababu ni moja ya makundi yanayo patikana katika jamii ni kama vile angefanya katika kundi la walemavu nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila naomba utambue unapokuwa kiongozi wewe ni kiongozi wa kila kundi na unapaswa kuwapa supportUnaulizaje kwa kuja na hoja ya kumkamata kwa kumvizia mtu ambae hata wewe usipofikiri kwa kutumia tumbo unaona kabisa alichoongea kina mantiki
Shida yenu mnajua kuandika sana kuliko kufikiri... sasa hao uliowataja na katiba zao na yetu zina fanana? yetu haitoi mwanaya kwa Rais kushitakiwa hata akimaliza muda wake...hata ikibadilishwa maana yake hata yeye haito muhusu baadala yake sheria itaanzia pale ilipobadilishwa
Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila naomba utambue unapokuwa kiongozi wewe ni kiongozi wa kila kundi na unapaswa kuwapa support
nyie ndio kesho hawa wasanii wakiachwa tu mtakuja pia kulalamika kuwa serikali haiwajali kumbe si kweli utasema labda yeye si wizara ila yeye ni kiongozi wa mkoa alicho fanya ni kuongea na wasanii waliopo dar tu na si wasanii wa tanzania nzima ambapo hapo ndo wizara itahusika zaidi ni ubunifu tu wa kiongozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kiwango kikubwa Chid anaongelea kuhusu concentration, Mkuu wa mkoa ana initiate vitu vingi mwisho hakuna sehemu vinafika. abaki na mambo yua msingi, inatosha