Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

ccm ya awamu ya 5 haijawahi kuwa na aibu yoyote , wala usishangae huyu dogo kupewa kesi ya kutakatisha pesa

Sikatai na unachosema na ni kweli anaweza kufanywa mfano. Issue yangu ni kuwa mnapokimbilia kusema huyu mtu ajiandae kutekwa au aongeze ulinzi, hapo unampa woga mtu mwingine kuongea. Kila mtu anajua kinachoendelea, ukiona mtu anasema kitu ujue ameshapima na yuko tayari....

Ni ushauri tu.
 
Dua la kuku hilo kwa mwewe, muulizeni kwanza madawa kaacha?
Choko Bashite ana kinga gani..lisenge limetuharibia Yanga yetu tunafungwa kisengerema..akija hata wa CCM mwingine litaenda kunyea ndoo..lilitaka $100,000 kwa Manji akalitosa ndio yote yaliyotokea
 
Msanii chidi Benz ana akili kubwa ukiachana na matatizo yaliyo mkuta kutokana na matumizi ya ngada.
Nimekua nikimfuatilia mahojiano yake na waandishi hivi karibuni, niseme tu huyu jamaa ni kichwa kuliko baadhi ya wasanii wengi tu ambao wanajiona wao ni bora.
Hivi hizi points anazoongea Chidi mtu kama Dudubaya ataweza kweli?
Mcheki hapa chid akitema sumu zenye akili.
 

Attachments



Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.

Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.

Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.

Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa

IMG_20190216_213941.jpg
 
Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??

Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Lucas philipo

Professor wa ccm hahahahah chama la wajinga

Mkiambiwa ukweli mnadivert [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Waambie waboreshe magereza huyo mahips kazi anayo siku sio nyingi
 
Kwa siku ya jana na leo baada ya clip fupi ya video ikimuonesha msanii wa kizazi kipya chid benzi aka chuma akitoa ushauri kwa mkuu wa Dar es salaam kuhusu kuachana na mambo madogo madogo ambayo haswa yanamfanya kujitangaza zaidi kwa mkuu huyo na kumshauri kufanya mambo ambayo yanalenga jamii kwa ujumla.

Je kwa hii kitu haita mfanya mkuu huyo kukasirika na ukizingatia msanii huyu ni mtumiaji mzuri wa madawa ya kulevya hivyo kutumia mwanya huo kuamrisha akamatwe na akapimwe mkojo kisha harakati za mahakama zianze ili kuweza kumzoofisha msanii huyu ambapo atakuja kuzikana kauli zake...nawaza tu ila hakuna alichoongea chid benzi chenye mantiki zaidi tu ya ushabiki wa wana ufipa kulikuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nimeuliza tu ila chid benz hakuwa na hoja kwa sababu mambo aliyozungumzia ni mambo ambayo mkuu wa mkoa pia ni lazima ayafanye kwa sababu ni moja ya makundi yanayo patikana katika jamii ni kama vile angefanya katika kundi la walemavu nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaulizaje kwa kuja na hoja ya kumkamata kwa kumvizia mtu ambae hata wewe usipofikiri kwa kutumia tumbo unaona kabisa alichoongea kina mantiki
 
Unaulizaje kwa kuja na hoja ya kumkamata kwa kumvizia mtu ambae hata wewe usipofikiri kwa kutumia tumbo unaona kabisa alichoongea kina mantiki
Ila naomba utambue unapokuwa kiongozi wewe ni kiongozi wa kila kundi na unapaswa kuwapa support
nyie ndio kesho hawa wasanii wakiachwa tu mtakuja pia kulalamika kuwa serikali haiwajali kumbe si kweli utasema labda yeye si wizara ila yeye ni kiongozi wa mkoa alicho fanya ni kuongea na wasanii waliopo dar tu na si wasanii wa tanzania nzima ambapo hapo ndo wizara itahusika zaidi ni ubunifu tu wa kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mnayemsifu leo siku akikutwa tena na ngada ndio mtakuja hapa kusema ameonewa!

Haya husiani, kwa hiyo mtu akisema lililo haki basi asisifiwe kwa sababu kesho anaweza kukumbwa na kosa?
 
Shida yenu mnajua kuandika sana kuliko kufikiri... sasa hao uliowataja na katiba zao na yetu zina fanana? yetu haitoi mwanaya kwa Rais kushitakiwa hata akimaliza muda wake...hata ikibadilishwa maana yake hata yeye haito muhusu baadala yake sheria itaanzia pale ilipobadilishwa

Kamuulize marehemu Chiluba wakati anatoka madarakani katiba ilikuwa inasemaje na kwa nini alijikuta kafia akiwa jela?
Katiba yaweza kubadilishwa na akachoma ndani hata mzee Mwinyi.
Kwanza hata hivyo kinga huwa ipo pale tuu alipokuwa anatimiza majukumu yake ya kazi kama kiongozi, yale mambo ya nyuma kama kaharibu hayana kinga bali uungwana tuu unatumika na haya mambo ya pyu pyu hayamo katika utendaji kazi
 
Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??

Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni bwege kabisa! Kamtukana nani hapo? Hebu potea mbali kijana!
 
Ila naomba utambue unapokuwa kiongozi wewe ni kiongozi wa kila kundi na unapaswa kuwapa support
nyie ndio kesho hawa wasanii wakiachwa tu mtakuja pia kulalamika kuwa serikali haiwajali kumbe si kweli utasema labda yeye si wizara ila yeye ni kiongozi wa mkoa alicho fanya ni kuongea na wasanii waliopo dar tu na si wasanii wa tanzania nzima ambapo hapo ndo wizara itahusika zaidi ni ubunifu tu wa kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kiwango kikubwa Chid anaongelea kuhusu concentration, Mkuu wa mkoa ana initiate vitu vingi mwisho hakuna sehemu vinafika. abaki na mambo yua msingi, inatosha
 
Mlianza kuunga mkono na kusambaza Usho.ga na sasa mnahamia kwenye watumiaji madawa ya kulevya na kuharibu watoto wetu.
Pathetic!
#HAPANATunduLissu.

Ama kweli nchi imejaa vipaji vingi mno! Ona kama hiki cha ujinga ulio tamalaki
 
Back
Top Bottom