KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,517
Mungu amkandamize malaya.Daaa mungu amsaidie
Daah wewe,usidanganye watu,mimi nakujua mpaka vichochoro unavoishi.Kijijini kwetu ni Masaki na sina ndugu wa kumlilia wote mambo yao ni mazuri.
Kumbe na wewe umo?Basi muombee Magufuli
Jamani muombew tuu nasi tunazaaMungu amkandamize malaya.
Umuombee SHETANI?, lijianamke limetia aibu Tanzania yoote,yule Rais wenu wa kucheka cheka alipoteza pesa za wanyonge kumtibu huyo IBILISI,lakini asivyo na haya karudia tena kutumia madawa ,angekuwa na hisani angemuheshimu Kikwete kwa heshima na taadhima,lakini sasa kamdhalilisha Kikwete kwa kurudia umalaya wake,madawa ya kulevya huwa hayaendi peke yake,huwa ni pete na kidole na umalaya wa kulala na wanaume wengi katika masaa machache,huyo hakosi NGOMA.Jamani muombew tuu nasi tunazaa
KweliTatizo ujui nini maana ya mtu kuwa addicted pole sana ila ukipata ndugu yako kawa addicted na unga ndio utakua kwanini RAY C yupo ivi, she needs our help hata kwa maombi tu sizani kama itakupunguzia kitu
Nadhani anamaanisha masaki ya wazaramo huko mwanalumango...Wacha we[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]