Msanii Ray C azidiwa na Madawa ya Kulevya; asaidiwa na Polisi

Msanii Ray C azidiwa na Madawa ya Kulevya; asaidiwa na Polisi

huyu dada mimi nahisi kama pamoja na madawa ila kuna mkono wa mtu
 
Ni mapema mno kusema Chid hatorudia zama zake hata kama angekuwa kazungukwa na malaika.

Addiction ni kitu kingine kabisa Mkuu siyo rahisi kama unavyodhani si methadone wala sober houses bali vita inayohitaji uthubutu wa mtu mwenyewe tena wa hali ya juu.

Tumpe muda at least mwaka.

Kweli Chid nae lazima atarudia ni pale atakapo toa nyimbo akazani zitashika kama zamani kumbe wapi stress zitaanzia hapo
 
yaani promo yote mpaka Magogoni kipindi kile...ilikuwa kazi bure?
======
JF moderators baada ya kuondoa uzi ule wa madawa kwenye list ya sticky jukwaa la siasa nilijua tatizo limekwisha nchini. Nadhani kuna haja ya kuurudisha uzi huo mahali pake. vita bado.
 
Kuna watu wanachezea sana machozi yao.

Hata hivyo, Ray C ana Mapepo.

Anaweza kusaidiwa KIROHO TU na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom