Msanii Ray C azidiwa na Madawa ya Kulevya; asaidiwa na Polisi

Msanii Ray C azidiwa na Madawa ya Kulevya; asaidiwa na Polisi

wamwache aendelee kutumia hayo madawa, tuwe positive wakati mwingine
 
kila kiumbe kina thamani mbele ya macho ya MUNGU
Mungu alimtuma Rais mstaafu Mh Jakaya Kikwete amsaidie ila yeye mwenyewe ray c kakaidi ku stop kutumia unga unataka yeye tena aje kwa njia ipi amsaidie? Kuna watu kibao wakuwaombea watoto yatima, nchi zenye vita, etc.. etc... Ila siyo huyu mla unga alisha bebwa sana ila abebeki!!
 
kila kiumbe kina thamani mbele ya macho ya MUNGU
Mungu alimtuma Rais mstaafu Mh Jakaya Kikwete amsaidie ila yeye mwenyewe ray c kakaidi ku stop kutumia unga unataka yeye tena aje kwa njia ipi amsaidie? Kuna watu kibao wakuwaombea watoto yatima, nchi zenye vita, etc.. etc... Ila siyo huyu mla unga alisha bebwa sana ila abebeki!!
 
Rehema ni msichana mzuri wa kiislamu aliyepotea njia kwa tamaa za kidunia binafsi alishauriwa aachane na maisha ya kinondoni na badala yake ajenge mbagala wakati huo mbagala kulikuwa polini lakini yeye alichomoa na kung'ang'ania life la kula baga kino. Sasa maisha yamechukua nafasi yake sasa anatangatanga kama stray do.g/ but mimi kama ndugu yako bado nakushauri nafasi bado unayo tena mche Mungu na utapata mume na utaolewa na kutulia katika maisha, ukiteleza hapa tena basi utakuwa umepotea.
Leo mnamkana Rehema mnamsukumia waislam binaadam wabaya nyie
 
Kuacha madawa unataka muhusika mwenyewe aamue. Ray C bado hajaamua. Msaada aliopewa na rais haukuwa sahihi, kwani kuna wataalam walisema ile dawa aliyokuwa anakunywa nayo ni ulevi, ndo mana kuna siku alikosa dawa tulimuona alivyolia kuwa mwili unamuuma. Kuacha dawa za kulevya ni kwenda sober house tu ambako utaacha bila kunywa dawa yoyote, Bali kwa ushauri nasaha. Chid Benz huyo kaiset akili kwamba sitaki tena madawa. Tunamuona sasa hivi maendeleo yake ni mazuri sana kutokana na watu anaoongozana nao hakuna anayeweza kumshawishi huo upuuzi pale WCB. So Ray C, kampany hana, marafiki wema wamemtenga, badala yake ameendelea kuambatana na mateja wenzake,akijidangaya awashauri waache unga huku anawaonjea.

Ni mapema mno kusema Chid hatorudia zama zake hata kama angekuwa kazungukwa na malaika.

Addiction ni kitu kingine kabisa Mkuu siyo rahisi kama unavyodhani si methadone wala sober houses bali vita inayohitaji uthubutu wa mtu mwenyewe tena wa hali ya juu.

Tumpe muda at least mwaka.
 
za leo ndugu.
jaman nimemwona huyu dada kwenye video flan akipakiwa na gari ya polisi kwa kweli kwa nilivyomfahamu nimekuta nikisononeka sana moyoni. yan naumia sana jaman yule mchuchu kawa hivi kweli, na ulaaniwe unga ntakua namwombea huyu mdada japo aache maana anakoelekea sio kuzuri na yeye alikua keshaacha pongezi kwa Rais kikwete kwa msaada wake kwa huyu dada. Mungu amponye.
sasa wataalamu, wanasaiolojia na madaktari kwanini tuu msimpatie tiba aache kabisa. mjue naumia sana. ni mrembo na mauno malaini na nyimbo zake ni tamu sana mfano mahaba ya dhati, uko wap, unasemaje n.k Mungu walinde watu wako pamoja na wasanii wengine waache.
 

Attachments

  • wp_ss_20160618_0039 (2).png
    wp_ss_20160618_0039 (2).png
    102.9 KB · Views: 48
Hayo ni maisha yake ni vizuri tuheshimu maamuzi yake na maisha aliyochagua.
 
Hayo ni maisha yake ni vizuri tuheshimu maamuzi yake na maisha aliyochagua.
 
Kama rais wa nchi amemtoa huko na akaudi mwenyewe...anatakiwa afe sasa awe mfano kwa jamii
 
Basata iingilie kati kumuokoa Ray C aka Kiuno bila mfupa
 
Sio yeye tu hata chidi sidhani kama ataacha kifupi madawa yanapoingia kwenye mmoja wa familia ni yenu ni msiba tayari utawaumiza mpaka siku huyo mtu anapoondoka .najua ray c angependa kuacha ila sidhani kabisa na pengine naamini kabisa kuwa hataacha mpaka mauti inauma ila ndio ukweli labda kama akiamua kuchukua njia ya dini itamsaidia kwa maana ya kuwa na mfumo mpya kabisa wa maisha ikiwemo marafiki na maeneo ya kuishi na kutembelea nje ya hapo no way out
 
Sawa na chidi kifupi ni kwamba anaendelea kuvuta na ndio maana katoka kule na kuja kuendelea na kampani ile ile so ni swala la mda tu ataomba msaada tena.
 
Mi nadhani kwa wale walioguswa na matatizo ya Ray C tusiwakatishe tamaa waacheni walie na kama kuna uwezekano wakiweza wamsaidie. Na kwa wale wasioona umuhimu wa kumsaidia hiyo ni roho yako isikufanye kuwashawishi na wengine wenye kuhitaji kumsaidia.( ni kweli wenye matatizo ni wengi na makubwa zaidi ya hili,lakini hata huyo utakayemuona wewe ni zaidi kuna wa zaidi yake yeye na huenda hayupo tz, sasa je tutafute dunia nzima ili tuwapate wenye matatizo ya kuzidi wengine ndio wasaidiwe..... jibu hapana msaidie yule aliyekugusa kulingana na maono yako na kama kulipwa utalipwa kulingana na ulichojitolea na si ulimsaidia nani ........ na wale wengine nao watasaidiwa hao wengine)

Ni kweli kabisa kila mtu na atende kadri nafsi yake inavyomtuma
 
Songstress Ray C born Rehema Chalamila has been sent back to a rehabilitation centre in Bagamoyo, Dar es Salaam just days after she was rescued by police from a suicide attempt.

According to Tanzanian news outlet Bongo5, the singer was on the night of Thursday June 16, 2016 picked up by police on Dar es Salaam streets after she started yelling saying she will strip naked, asking for a knife to stab herself.

She is rumored to have fallen back to drug addiction with reports showing she was high on drugs during the incident.
This move comes days after a heartbreaking video circulated online showing the singer being escorted in a police van shouting and blubbering unclear words.


Following the incident Ray C was taken to Sober House Rehab Center in Bagamoyo, Dar es Salaam with hopes of making full recovery.


SOURCE;;; tuko.co.ke
 
Back
Top Bottom